Hapo itategemea unakwenda Mara sehemu gani, Mfano kama unakwenda Bunda pitia njia ya Bukoba ila kama unakwenda Shirati Kirongwe pitia Migori. Naomba kuwasilisha
GENTAMYCINE :-Rorya Mkoani Mara ( Musoma )
Duh kumbe hadi kutishana ni hatari sana mkuu kwahyo Takukuru wamelala etiee
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nia yangu ni kumuunganisha na anayeweza kusamsaidia huyu ndg yake na jamaa kuacha pombe duniani tumeumbwa kusaidiana katika shida na raha pia[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.