Mabomu yametuamsha usiku heri ya siku ya uhuru

Mabomu yametuamsha usiku heri ya siku ya uhuru

Mbezi beach taa zimezima kwa dk. 10 halafu zikawaka. Nyumba yangu siwezi sikia ya nje ila mhu. Huku kwetu nilikuwa namsikiliza Rais wetu akitoa historia ya uhuru wetu na wahusika wakuu ndipo giza likatanda. nilihisi swali langu lilivunja mubashara.
Mabomu sijayasikia sababu kwangu ni insulated ila mbwa alibweka 2 times.
 
Wawe wanatoa taarifa kabla, mimi nilikuwa katikati ya game na shemeji/wifi yenu wakaanza kupiga mabomu yao, mzuka wote kwisha.
Pole, taarifa mbona ilitolewa mkuu, mara moja moja angalia habari tafadhali[emoji16]
 
Back
Top Bottom