Shida ipo tunaamini katika vyeti kuliko experience ...! Walioaswa wamchukue then wamfanyie assessment nakama yuko competent wampatie leseni...lakini chakushangaza wanaweza wamfungulie kesi na kumfunga kabisa
Huyo alieleta mada naweza nikampuuza kwakuwa nina uhakika hajui ni nini anacho kiongea, ila nasikitishwa mchangiaji mjuaji ambaye hajui hata nini anachokiongea..! Nibusara kujifunza baada ya hapo utajua pumba au uzito wa kitu unachokiongea..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hawa jamaa wa TBCC huwa wana nunua kilo ya sungura kwa bei ya elfu nane ..! Na mara nyingini sungura mkubwa mwenye ujazo mzuri huwa anakuwa na kati ya 3.5kg mpaka 5kg ...kwahiyo sungura mkubwa kuuzwa kuanzia elfu 20 mpaka elfu 40 sio jambo la ajabu..! Ni swala la information tuu ndio...
kwamfano sehemu kama china wameweza kidhibiti uber wao wanatumia sana kampuni yao ya didi .!! lakini pia hilo lomechangiwa na uzalendo walio nao .!! wa kutumia chanyumbani kwanza.!! tumia cha nje endapo tuu cha nyumbani hakipo
mifano iko mingini tuu tusikate tamaa .!! hata facebook haikuwa ya kwanza .!! kuna wengi waliomtangulia sema tuu ni ubunifu tofauti kwenye biashara moja .!!
yaani nikweli kabisa hapa tatizo linabakiniwenye business model.!! kampunzi kama ya uber support ya kutosha toka kampuni ya amazon sasa unategemea kushindana nayo in the same model of business .? the only way yakushindana nayo nikuwa na creative ideas ..!!
alicho kiongea Graph nikweli kabisa yaani china ndo huwaambii kitu .!! maana kwa mfano uber kwao wameweza kuidhibiti kabisa wao wanatumia yakwao inaitwa didi mzee kwa ajili ya usafiri.!! tatizo wachina wamekuzwa katika mzingira ya uzalendo wa kutumia cha nyumbani kwanza the cha kigeni ndo...
shati unalovyaa cadet una vya ..!!rubber unayo vya ikitokea china kama grade ya pili na pia kama ikiwa na brand flani kama Lacoste,polo,puma,nike .!! ujue kuwa hiyo nayo ni piracy..!! sasa kwa nini iwe cd tuu za nje..??
ukitaka elimu ya kuku tafuta mtu anayefuga kuku ina large scale halafu atakuambia changamoto zake lakini kwa haya maswala ya vitabu vya research za marekani kuuzwa bongo utalia na utachukia ufugaji wa kuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.