Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,660
Sungura kiukweli wana soko sana lkn si kwa bei hiyo ya 20,000. Ninawafuga na kuwauza sana hawa viumbe kwa 8000 - 10000 kwa sungura. Hata wakiwa 300 kwa 10,000 ndan ya siku moja nshawauza na kuwamalizaHana tofauti na yule aliyefugishwa mojoka na muwekezaji akimuahidi soko huko ughaibuni, sasa mijoka imekuwa soko hakuna muwekezaji katoweka kusiko julikana na mijoka inataka kummeza mfugaji.[emoji16] [emoji16] [emoji16]