poleee sana kaka ,,
Aaah actually ni kwelly inawezakana mtu akazaliwa na ukimwi ,lakin lazima alie mzaa alikua tayar na maambukiz xo cijui wew umefaham vip km alizaliwa nao?make ujaxema history yoyote kuonexha namna gan alizaliwa nao ,,
Hoja ya msing ni kiini cha !message ako ,,labda...