mm nmemaliza chuo,nkabakishwa chuon as tutorial assistant and now I have three years kazn,so nakushauri tena kwa capital letters, DON DO THAT!!!! mwanamke hasomeshi,usidanganyke eti kazaa tayar,kuna watoto wa mbwa wanakula hvyohvyo.
kama unabsha poa,msomeshe but usisahahu kutuletea mrejesho...
kwahl hata mm nasapoti aiseeh,jamaa wanapata pesa nyng kwa mtaj waliowekeza mara moja,akati wafanyabiashara wadogo wanalipa kodi kila item walionunua ili wauze.
hv hawa wanaotetea mafisadi wanajielewa kweli.hv wanajua maisha mabovu wanaoishi walimu,manesi,polisi na watu wengne wa serikali wao na familia zao!!!!?? watu wangap wamekufa bcoz hosptal hazna dawa,magraduate wangapi tuko mtaan hakuna ajira na hakuna means ya kuwezeshwa??? utanambia njiajir we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.