Manifestation Secret

Manifestation Secret

Habari wakuu!!
Leo nataka niwashirikishe mojawapo ya njia ya kuweza kupata au kufanikisha kitu chochote ambacho unahisi ni kigumu katika maisha yako. Moja wapo ya njia hii ni kutoa chochote kwa nature(give something to the nature).

Mfano unajua una kikao muhimu sana kabla ya kwenda kwenye hicho kikao unaweza kwenda sehem ambayo wanauza nyuki ukanunua nyuki wale na kuwaachia,unaweza amua kupanda miti nk. Ancient culters walitumia njia km hizi kwa miaka mingi kwa kutoa/providing to nature in order to bring good fortunes.

Natoweka nikiweweseka kiwendazimu
Nadhani nimekuelewa zaidi ya wote. Je naruhusiwa kuja PM?
 
Tukiacha kupanda miti na hao nyuki jambo gan lingine unaweza fanya kwa nature
 
Nzuri,na imekaa kiuhalisia kabisa,japo sijajua kwa Nini umeondoka ukiweweseka ki wendawazimu
 
Mkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)
Kuna matajiri kila siku wanakua kimapato na mingo zao ni miti
Njoo NJOMBE ujionee mwenyewe wakinga na miscania ya kutosha
 
Kuna kitu nadhani hakijaeleweka. Dhamira yako ndio italeta majibu....yaani nature itakujibu kulingana na ndani yako ilivyo. Je unapanda miti kwa ajili gani?
Unafuga mbuzi kwa ajili gani?
Mueleweni vizuri mtoa mada.
Kumbuka in nature hakuna kitu kizuri Wala kibaya.
Kuna matajiri kila siku wanakua kimapato na mingo zao ni miti
Njoo NJOMBE ujionee mwenyewe wakinga na miscania ya kutosha
 
Ukiliangalia vizuri hili utagundua kuwa ni mstari ule ule wa sadaka. Japo hapa wanalengwa Sana wahitaji.
 
Back
Top Bottom