Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,463
Hii njia huwa naitumia sana tu, na ndio imenifanya kuyafikia mafanikio haya niliyonayo. Inaondoa woga na moyo wa kutothubutu kwa 100%
Ni somo zuri mtoa mada
Ni somo zuri mtoa mada
Nadhani nimekuelewa zaidi ya wote. Je naruhusiwa kuja PM?Habari wakuu!!
Leo nataka niwashirikishe mojawapo ya njia ya kuweza kupata au kufanikisha kitu chochote ambacho unahisi ni kigumu katika maisha yako. Moja wapo ya njia hii ni kutoa chochote kwa nature(give something to the nature).
Mfano unajua una kikao muhimu sana kabla ya kwenda kwenye hicho kikao unaweza kwenda sehem ambayo wanauza nyuki ukanunua nyuki wale na kuwaachia,unaweza amua kupanda miti nk. Ancient culters walitumia njia km hizi kwa miaka mingi kwa kutoa/providing to nature in order to bring good fortunes.
Natoweka nikiweweseka kiwendazimu
Karibu mkuuNadhani nimekuelewa zaidi ya wote. Je naruhusiwa kuja PM?
Taratibu na mbavu za watu🤣🤣🤣🤣Na ndioMana wazungu Wana wafuga mbu nakuja kuwa achia afrika.
Acha umbea, hebu niambie umeelewaje? 🙇♂️Nimekuelewa mkuu
Nafkri Wana panda piaAisee mbona wauza mbao Ni matajiri fresh tu.
Nenda mwenyew bila kuitangaza kwa watu. Tafuta wahitaji wape chochote kwa uwezo wako. Fanya kwa dhati ya ndani kabisaTukiacha kupanda miti na hao nyuki jambo gan lingine unaweza fanya kwa nature
Kusafisha mazingiraTukiacha kupanda miti na hao nyuki jambo gan lingine unaweza fanya kwa nature
Sikujua hili Huwa nafanya sana hiiNenda mwenyew bila kuitangaza kwa watu. Tafuta wahitaji wape chochote kwa uwezo wako. Fanya kwa dhati ya ndani kabisa
Hiyo n signature mkuuNzuri,na imekaa kiuhalisia kabisa,japo sijajua kwa Nini umeondoka ukiweweseka ki wendawazimu


Signature ya kiwendawazimu Sana😂Hiyo n signature mkuu![]()
Kuna matajiri kila siku wanakua kimapato na mingo zao ni mitiMkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)
Vipi mtu anayefanya biashara ya kuuza nyama
HamkosekaniHii njia huwa naitumia sana tu, na ndio imenifanya kuyafikia mafanikio haya niliyonayo. Inaondoa woga na moyo wa kutothubutu kwa 100%
Ni somo zuri mtoa mada
Kuna matajiri kila siku wanakua kimapato na mingo zao ni miti
Njoo NJOMBE ujionee mwenyewe wakinga na miscania ya kutosha