Recent content by Will traveller

  1. W

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    natafuta mtu anayefuga kuku aina ya Kenbro hususani kutoka mikoa ya Iringa, Dodoma au Mbeya. Ninahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha ila nitahitaji kumtembelea kwanza kuona shughuli zake na kupeana ushauri.
  2. W

    Ugonjwa wa Marek katika ufugaji wa kuku

    samahani suip kwa kuingilia uzi wako, lakini mimi pia nina tatizo, kuku wangu wameugua ugonjwa wa infectious coryza na wameathirika vibaya macho, nilikua na kuku 300 lakini nimeshapoteza 30 hadi sasa (ndani ya wiki 3 tangu ugonjwa uanze), nimejaribu kutumia dawa ta mafua fluquin na antibiotics...
  3. W

    Ugonjwa wa Marek katika ufugaji wa kuku

    pole sana, jitahidi kuangalia usafi wa banda na kuku wakianza kuonyesha dalili ya kuugua watenge haraka ili wasiambukize wengine.
  4. W

    Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    Nimeulizwa swali 'punyeto once a week nayo ina madhara' naomba mnisaidie
  5. W

    Mbowe Aombe Radhi Kukubali Mwaliko wa Dhifa ya Obama; Inadhoofisha Harakati za Kuiondoa CCM

    Umeshasema Dk. Slaa alisema 'Chadema hatujaalikwa' na Mbowe alienda kama 'kiongozi wa upinzani bungeni' sasa tatizo lako nn? Kwani kikwete alisimama kama 'raisi wa nchi' au 'mwenyekiti wa Ccm'? Tofautisha vyeo kwanza vinginevyo ondoa post yako isiyo na maana.
  6. W

    Shamba Ekari 109 Linauzwa-Iringa

    Nipo ifunda kwa sasa ka vp tutafutane nilione
  7. W

    Mama yangu adui yangu

    Mmmmmh!! Sa ka mama anahusika kwa yote hayo............... subiri kwanza apone maana nina hasira naye ile mbaya
  8. W

    Uzuri wangu sasa umekuwa kero

    Hebu tupia picha yako watu wakimbie hapa
  9. W

    Yathibitika: Kujamiiana kunatibu tatizo la Kipanda uso….!

    Aseeeee kuna kipindi flani mheshimiwa zito alilazwa na akasema alikua anaumwa kipanda uso ina maana alikosa haka kahuduma kwa muda mrefu
  10. W

    Woman gets pregnant after having intercourse with a dead man in mortuary.

    Huyo adundwe hadi aseme aliyempa hiyo mimba sio kutuletea theory za ajabuajabu hapa
  11. W

    CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?

    Kwa mtu wa umri wa dk. Slaa ni rahisi kuelewa kua alianza siasa kabla chadema haijaundwa kwahiyo Labda alianza tangu TANU to CCM then Chadema. Hayo ya kutunza kadi ni sawa na ww unavyoweza kuwa na daftari la darasa la kwanza hadi unapomaliza chuo licha ya kua hulihitaji, hulitumii na wala...
  12. W

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Nimekaa kota za ifunda sekondari hadi 2002 nikasoma shule ya msingi mazoezi ifunda halaf malangali sekondari kisha njombe high school na mwisho UDSM Enzi hizo Ay anapaform ukumbi wa mazengo, head master nkondokaya anachomewa nyumba.
Back
Top Bottom