Kwan swala lililopo mahakaman ni katiba ya cdm au ni kuhusu pingamizi la zito,angalizo kwa ninyi mnao waza rufaa!na kama ni katiba mlikuwa wap msioji mpaka mtu apigwe nyundo au?
nami nilikumbwa na shda,haikuwa mwendo wa kasi kiasi cha kupiga simu,ilikuwa devera ka overtake sehemu sio sahii hvyo gar ikayumba kidogo then jamaa ikabdi avute waya na kumbuka magar yote yamepangwa mda wa kufika kila stend.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.