Recent content by wilhelmmushi

  1. W

    Tahadhari kwa Zitto Kabwe

    Safar yao ni fup sana
  2. W

    St. Augustine University of Tanzania

    watu wengne hembu yaribuni kutmia akili japo kdogo tjue nawe umeelimika,just lke standard six,
  3. W

    St. Augustine University of Tanzania

    we sema unataka tujue gpa yako,huna hoja ya msingi,wanao jua huwa wanakaa kimya,vilaza kama wew lazima mtambe,jifunze
  4. W

    Tundu Lissu rudi Shule

    Kwan swala lililopo mahakaman ni katiba ya cdm au ni kuhusu pingamizi la zito,angalizo kwa ninyi mnao waza rufaa!na kama ni katiba mlikuwa wap msioji mpaka mtu apigwe nyundo au?
  5. W

    Huyu abiria lazima katumwa kuvuruga biashara ya kampuni hii

    nami nilikumbwa na shda,haikuwa mwendo wa kasi kiasi cha kupiga simu,ilikuwa devera ka overtake sehemu sio sahii hvyo gar ikayumba kidogo then jamaa ikabdi avute waya na kumbuka magar yote yamepangwa mda wa kufika kila stend.
  6. W

    Mawakili wa Serikali kuitwa kazini

    tufahamishane kuhusu hzo post nasi to apply
  7. W

    ACT-Tanzania mwiba mkali kwa CHADEMA

    Mtoa mada kavurugwa
  8. W

    TIA-wanafunzi wazuiwa kufanya mitihani yao ya semister

    We unataka chuo kijiendeshe vpi pasipo pesa,na tabia ya baadh ya wanafunz wanakuwa hzo pesa kakin hawazitoi mpaka waekewe vikwazo kama hvyo ndipo atoe
  9. W

    Nafasi za kazi

    Mkuu kiwango cha elimu wanatakaje
  10. W

    Msaada wa kisheria unahitajika

    Kesi ni evidence na hvyo basi anayesema hamna tendo hlo anatakiwa kuithibishia mahakama,(should convis the court)
Back
Top Bottom