Recent content by wil68

  1. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaja na style mpya ya kukulana

    Hiyo style kapigishwa mahali fulani na kaipenda akaona aje akuletee na wewe uijue. (Eva kadanganywa na nyoka kula tunda la mti wa kati kaona linafaa kampelekea na mumewe Adam).
  2. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu.
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Sasa wewe unajisifu mwenyewe? Acha tukusifu sisi tutakaokuona.
  4. W

    JamiiForums Tanzania Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

    Aaah!! Jasiri haachi asili.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Vijana mmeona chakula cha role model wenu? CR7

    Hata mimi sitaki kuamini kama ndo msosi wake. Kwanza sahani ni ya plastik. Pili hayo maharage ni ya mama ntilie hayo hayana hata rojo.
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu alinisamehe lakini ananipa tena masharti ya Kunyoa

    Kwani avatar yake si inajieleza, kubwa jinga
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Jana nimeichapa usiku mzima😀😀😀
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni uzee umepiga hodi au nimerogwa wakuu?

    Kwenye mambo yale hakuna uzee, miaka 60 na unaweza mpa mwanamke vitatu.
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni sahihi mwanaume kunyonywa chuchu wakati wa kufanya mapenzi?

    Labda kwa vile ulilewa.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Hapo hata mimi nimekuelewa.
  11. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli vinyama vina ladha tofauti au sababu ya wanaume kuendelea kuchepuka ni ipi?

    Maana hawakawii kugeuza kibao
  12. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu huwa ananiwekea chakula kidogo kwenye sahani sishibi, kumuambia naona aibu

    Nitumie namba ya simu ya mkeo nimwambie kwa niaba yako.
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

    Usipoukubali muda basi muda utakubadilisha ukubali kwa lazima.
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar bana!

    Dar hakuna mashamba hivyo mahindi yote yanatoka mikoani na hadi kufika dar masokoni na kwa mlaji ni zaidi ya siku mbili na kwa muda huo mahindi yanakuwa yashapoteza ladha halisi. Sasa ili kulifanya liwe na ladha baadhi ya walaji hutia chumvi na pilipili na wakati mwingine limao ili mradi...
  15. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku nimefatwa na mchawi kisa nimebeba hawala yake

    Endelea ili watu wajue kuwa kila unaemwona ana mwenyewe
Back
Top Bottom