Wadau wa jamvi hili. Habarini za muda huu.
Ninaomba kama kuna mtu anayejua sehemu hapa Dar panapouzwa speaker za ukutani au za kwenye ceiling board hapa Dar aniambie.
Zanzibar ni nchi pekee duniani ambapo tume ya uchaguzi yenyewe inaona uchaguzi haukuwa huru na haki wakati vyama vya siasa, wananchi na hata waangalizi wa nje hawajaona wala kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki. Zanzibar ni nchi pekee duniani ambapo serikali inaandaa uchaguzi yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.