adolfkirshtain
Member
- Nov 6, 2015
- 16
- 1
Mhh.makubwa wasije kuwa wakina yahaya
:thumbup: Tuanchimba visima kwa shilling elfu sabini tuna funga pampu pamoja na kukupa tanki la lita elfu moja au elfu mbili tuwasiliane kupitia namba 0659839446
1. Elfu 70 ni kwa mita moja..??:thumbup: Tuanchimba visima kwa shilling elfu sabini tuna funga pampu pamoja na kukupa tanki la lita elfu moja au elfu mbili tuwasiliane kupitia namba 0659839446
Labda umesahau sifuri kadhaa hapo mwisho. Yaani toka milioni nne mpaka tano wanayo chaji kwa sasa mafundi wengi mpaka elfu sabini!? Vipi mnachimba na majembe, na hilo tanki ni la mianzi!?
Kama ulivyoona mkuu
Haya nayo ni maajabu mengine!
nimepga Simu sasa hiz,wako gongo LA mboto,elfu sabini ni mita moja kama maji yapo mita 80 zidisha Mara 70000 ni 5,600,000 watakupa pampu na tenk.alamsiki
:thumbup: Tuanchimba visima kwa shilling elfu sabini tuna funga pampu pamoja na kukupa tanki la lita elfu moja au elfu mbili tuwasiliane kupitia namba 0659839446
Mbona umechimba karibu na choo au maji taka?. contamination vpi hapo? m 15 acha udongo wa mchanga zimetimia?Kama ulivyoona mkuu
Mkuu hii 70,000 ni urefu wa mita ngapi?
Mhh.makubwa wasije kuwa wakina yahaya
Khaa!! Labda elfu sabini kwa futi moja :spy:
Kwa bei hiyo kila mtu angekuwa na kisima chake
Sijui ni utani wa namna gani huu! Hii sasa ishakuwa sehemu ya utapeli na utani. Hivi elfu sabini si ni gharama ya kusafirisha equipments kwenda site?
Acha utapeli kaka, utani wa milioni 50 kila kijiji huo
Haya nayo ni maajabu mengine!
Kutangaza biashara huku ukiwa nyuma ya ID feki si jambo njema
Ni kampuni au ni kikundi?
1. Elfu 70 ni kwa mita moja..??
2. Pampu aina gani..??
3. Fundi mwenye qualifications zipi..?
4. Pampu inakuja na controls zake..??
Kwa gharama hizi, kusingekuwa na shida ya maji maeneo mengi