Recent content by wikama

  1. W

    Fani ya Sheria inaonekana haina mashiko tena

    Bila sheria mambo hayaendi kila kitu kipo kwa mujibu wa sheria, sheria ndio kila kitu kila sehemu na kila idara lazima iwe na mwanasheria bila sheria hakuna amani kwani watu wangekuwa kama wanyama hivyo sheria ni muhimu sana tatizo labda wingi na ajira chache !! Serikali kisheria, kodi kisheria...
  2. W

    Sheria ya Uanzishwaji wa Mwenge wa Uhuru

    Ni tamko LA rais kama unavyojua mkuu wa nchi akitamka kitu huwa ni agizo au Amri Ila sina uhakika kama ipo kisheria !!
  3. W

    Application ya bachelor degree kwa sifa ya diploma

    Nina diploma ya police science nataka kusoma LLB au BALE
  4. W

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Kwani mpaka sasa mwezi July 2015 mshagara wa kima cha chini ni shilingi ngapi wadau??
  5. W

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Mwanaume use mkubwa mzidi angalau 10yrs au at a 15yrs ndo baadae mtaendana La sivyo utamuona bibi !
  6. W

    Naomba msaada kuhusu vyeti vya elimu

    kwani unaomba kazi kwa leaving au academic? navyojua ni academic na tofauti yoyote inafanyika kwa kuapa kwa kamishina wa viapo hakimu au wakili haya hima nenda !
  7. W

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Mbona wataalamu hawajitokezi jamani toeni ufafanuzi !
  8. W

    Taaluma ya polisi

    Mi nadhani taaluma iyo ni njema kama itatumiwa lakini uongozi jeshi la polisi haufuati elimu ila ukiwa na refa mambo shwari ndo mana wasomi wanachukiwa na hawataki ushauri.
  9. W

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Mke akiwa mdogo zaidi ya miaka 10-15 ya mwanaume inapendeza sana kwani wanawake wakifika umri zaidi ya 40 tayari wazee lakn dume hazeeki mpaka kufa anakuwa na nguvu kutoa watoto !
  10. W

    Unajuaje kama msichana ana mtoto au ameshawahi kuwa na mtoto...

    Mkweli atasema ukiuliza ukiona kimya tafuta mtu wake wa karibu uliza au jirani au hata ndugu zake utapata jibu.
  11. W

    Taaluma ya polisi

    Ivi karibuni jeshi la polisi limeanzisha Diploma in Police science je hii itasaidia kuweka polisi kwenye perfomance nzuri au wameanzisha kwa nia ipi ? Polisi ina wasomi wengi lakn sio wataluma hiyo na kwenye utendaji kuna uoga mwingi hakuna anaejiamini toka IGP - PC ndo maana unakuta migongano...
  12. W

    Mafanikio ya vyama vya siasa nchini

    Vyama vya siasa nchini Tanzania tangu vianze vimeleta demokrasia hasa ktk uhuru wa kutoa mawazo, raia kujua haki zao nk lakini lengo kubwa nafikiri ilikuwa pamoja na hayo kumletea mawananchi maisha bora jambo ambalo halijafanyika ipasavyo na ili unuse harufu ya maisha bora ni lazima uwe member...
  13. W

    Tanzania kupitia upya mikataba 26 ya mafuta na gas

    Wazungu mara nyingi wanatumia udhaifu wetu kwenye mikataba angalia hata zamani za ukoloni mtemi wa morogoro alisaini mkataba bila kujua madhara yake makubwa lakini sasa sio kwamba hawajui ila ni RUSHWA !
  14. W

    Tume ya waziri Nchimbi ya kuchunguza mauwaji ya Mwangosi yaibiwa hotelini

    Nchimbi, IGP, Chagonja na kamanda wa Iringa na kwa ujumla polisi yote kinachowaharibia sana ni kuendesha mambo ki amri amri tu bila kutumia weledi kwa sababu polisi kuna wataalamu wengi lakini sio wa upolisi wapo wahasibu kibao, wahandisi kibao, sociology kibao, sheria kibao, diplomasia wengi na...
  15. W

    Kumjuwa na kumsoma mwanamke sura yake

    Naona jamaa kaeleza mambo mengi vema ila aweke na picha za maumbo hayo !
Back
Top Bottom