Ivi karibuni jeshi la polisi limeanzisha Diploma in Police science je hii itasaidia kuweka polisi kwenye perfomance nzuri au wameanzisha kwa nia ipi ? Polisi ina wasomi wengi lakn sio wataluma hiyo na kwenye utendaji kuna uoga mwingi hakuna anaejiamini toka IGP - PC ndo maana unakuta migongano mingi kutoa maamuzi kwa kuwa hawana uhakika na wanachokifanya penye kufuata sheria wanatoa amri matokeo yake mauaji. Wadau mnaonaje taaluma iyo kuanzishwa ?