Recent content by wifawilola

  1. W

    Zitto jibu hili tafadhali

    mwandishi umechelewa ndg huyo si saizi yenu na hachafuliki kwa staili hii. ungeanza na Mbowe ututajie mali zake tuone nae ni mzalendo kweli?
  2. W

    Francis Cheka aachiwa huru

    Acha kudanganya watu. ametolewa kifungo cha gerezani na kupewa kifungo cha nje yaani afanye kazi za jamii.hajakata rufaa yoyote.ni taratibu za kimahakama baada ya kufanya mapitio ya hukumu.
  3. W

    Mtikila azuia Muswada wa Mahakama ya Kadhi Kujadiliwa

    kwanza tutambue mtikila anayo haki ya kufanya alichokifanya.na pili tuelewe Serikali haina dini kwnn kulazimisha kuweka mambo ya mahakama ya kadhi ktk katiba wakati katiba hii inajumuisha watu wenye dini tofauti tofauti?
  4. W

    Ufisadi CHADEMA: Mamilioni yachotwa kulipia "website" hewa!

    watakuja kujitambua watanzania watajuta.ndo maana akitokea mtu kuibua habari izo lazma afukuzwe.
  5. W

    Msilikizeni Zitto Kabwe, Clouds FM muda huu

    watanzania tulinyima ufahamu basi.lkn wakati ukifika ukweli utakujaga patikana.tunapandikizwa chuki na mitandao tu na tulivowajinga tunaamini.iki chama kina ukabila ukweli utabaki palepale.kutaka uenyekiti wa taifa ndo kulikomfikisha hapa zitto. wanaotenda madhambi makubwa ya kutafuna ela za...
  6. W

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Mimi narudia mwisho wa chadema ni uchaguzi wa mwaka huu. Iki chama kitapotea hamtaamini. nilikipenda sana iki chama lkn kwa upuuzi huu basi. mtu kuomba kugombea u/kt kosa? haya mengine yooote ni uzushi mtupu.sababu kuu ndo hiyo. Yamesemwa mengi ya Mboe mbona kimya? Silaa vp kujikopesha Ruzuku ya...
  7. W

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Mwisho wa chadema ni uchaguzi wa mwaka huu basi.Tatizo wanachama wake wamekuwa mbumbumbu hawawezi kujiongeza tafuta chanzo cha huu mgogoro ni nn? yalisemwa mengi kuhusu ufujaji wa pesa je ukweli umetafutwa? kuhusu ukabila ni uongo top layer? watafukuzwa wengi na ndo mwazo wa kufa.hao wanaojidai...
  8. W

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Mwisho wa iki chama ni uchaguzi wa mwaka huu basi hatutakuwa na chadema tena kwa mambo yao ya kipuuzi.
  9. W

    Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

    kuna ndege inaitwa Rocket? mi cjui mi najua rockets ni Makombora
  10. W

    Mishahara ya Polisi ya mwezi wa pili

    ulimkopeshea hapa jf? na ulipotaka kumpa uliuliza hapa jf?
  11. W

    Ngeleja: Zitto aliomba na kupewa milioni 30 kutoka kwa Rugemarila

    Ni upuuzi mkubwa.Hawa ndo wale anatongoza mwanamke anamwambia kwnn unikatalie mbona fulani ulimkubalia.ndo akina Ngeleja.si angepeleka ushahidi? huo ni utetezi kweli yeye akiwa kama mwanasheria?
  12. W

    Msaada: Nimeota baba yangu kafariki, nini maana ya ndoto hii?

    Mwulize anadaiwa mana izo dalili za kumuiga Komba
  13. W

    Ni sahihi kuvaa nguo za chama msibani?,is it fair kwa wafiwa?

    they happy is if, is it fear. Inaonesha we si mwafrika mana kiingereza chako cha ndani mno.
  14. W

    Ndege ya Jeshi yaanguka na kuwaka moto uwanja wa ndege Mwanza, rubani anusurika!

    ni tatizo la ndege (mbayuwayu) kaingia ktk injini ya ndege ndo likawa tatizo ila Rubani karuka japo kavunjika mguu
Back
Top Bottom