Ufisadi CHADEMA: Mamilioni yachotwa kulipia "website" hewa!

Ufisadi CHADEMA: Mamilioni yachotwa kulipia "website" hewa!

Mzee, josephine wako atakuharibia kazi. Wee jipofushe tu[/QUOTE]

aachwe uolewe wewe?
 
Kwani umezuiliwa kuleta uzi hapa JF?!!! Wewe lete hizo nyuzi zako za madawa ya kulevya, ila usichagulie wengine mada za kuleta au kujadili.

ulivo na akili ndogo kama tigo unadhani umeleta thread ya mana,ningekushauri ukafoji hata vocha tu ili uonekane angalau
 
jme,
Source ni Hamy-D! You are wasting your time! Ili awe credible for once aweke japo voucher mmoja tu, au no ya Cheque. Inaelekea hajawahi kufanya utawala hata kidogo! Ni ofisi gani fedha zinatolewa Kama Karanga? Watahangaika mpaka watachoka.


Lete ukweli basi,nyie si mnasema ni wasafi
 
Slaa hana uhalali wa likemea maovu ni fisadi tu
 
R.i.p chadema watanzania tulikupenda ila wezi walikupenda zaidi
 
"Tanzania nchi ya 3 barani Africa kwa vifo vya watoto wachanga" 50 yrs of independence na CCM ikiwa madarakani,we unatuletea story isiyo na hata source!Usituondoe kwenye agenda 2015 ya kuwa weka pembeni mjifunze.
 
Hivi na wewe ulitaka kuwa rais wa TZ
kazi kweli kweli.
Labda rais wa mipasho!
Badala ya kujibu hoja unaleta mipasho yako
kama kawaida yako.
Unatoa mipasho halafu unakimbia.
Toa maelezo mpango wa tovuti umekufia wapi.
Kutaka mtu aoneshe voucher huko ni kukimbia hoja.
Kuweni wakweli, shutuma nyingi katika fedha zimekuhusu cdm
kila siku wewe ndio usingiziwe, upo ukweli katika unayosemwa nayo.
Suala la utata wa fedha tangu ulipokuwa padri ulishutumiwa nalo.
jme,
Source ni Hamy-D! You are wasting your time! Ili awe credible for once aweke japo voucher mmoja tu, au no ya Cheque. Inaelekea hajawahi kufanya utawala hata kidogo! Ni ofisi gani fedha zinatolewa Kama Karanga? Watahangaika mpaka watachoka.



UOTE=jme;9163650]Tatizo lako huwa unakuja na habari ukiuumbuliwa huleti ushahidi na unaondoka jamvini kimyakimya wanabaki wenzako wanajibu na kuuliza mwenyewe
[/QUOTE]
 
Si ndo maana wakamwondoa Zitto ili wale ruzuku ya walala hoi bila kubughudhiwa?then kesho wanapanda majukwaani wanahubiri eti wao ni watetezi wa wanyonge,jamani huyu padri kama hakurudi kanisani kwenda kutubu dhambi ya uasi haki ya nani laana ya Mungu itaendelea kumtafuna,Udini ,ukabila ,vurugu,uchochezi na mambo mengine mabaya kama hayo yataendelea kuwa ndo sera za CHADEMA
 
source ya habari mkuu usilete porojo za kupaka watu matope ili kuwatoa kwenye inshu ya katiba .tanganyika kwanza mambo mengine baadae

afadhali umemgonga Kisawasawa!
 
Nani ahoji ufisadi wa Slaa na Mbowe? Daah CHADEMA kimya maana wanaogopa kubambikiwa kesi za usaliti na uuaji maana watu hawa wawili pamoja na mama Mushumbusi hawaguswi.Kumbuka pia Mushumbusi alipewa kitengo cha IT CHADEMA.
 
watakuja kujitambua watanzania watajuta.ndo maana akitokea mtu kuibua habari izo lazma afukuzwe.
 
Na zile bilioni mia 3 na ngapi cjui huko za eskroo utaziitaje, na vp kuhusu vile vijisenti vya Mzee nyoka makengeza navyo je inakuwaje
 
Back
Top Bottom