Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,363
- 139,166
Mzee, josephine wako atakuharibia kazi. Wee jipofushe tu[/QUOTE]
aachwe uolewe wewe?
aachwe uolewe wewe?
Kwani umezuiliwa kuleta uzi hapa JF?!!! Wewe lete hizo nyuzi zako za madawa ya kulevya, ila usichagulie wengine mada za kuleta au kujadili.
jme,
Source ni Hamy-D! You are wasting your time! Ili awe credible for once aweke japo voucher mmoja tu, au no ya Cheque. Inaelekea hajawahi kufanya utawala hata kidogo! Ni ofisi gani fedha zinatolewa Kama Karanga? Watahangaika mpaka watachoka.
Lete ukweli basi,nyie si mnasema ni wasafi
Hivi yule mtaalamu wa WAVUTI YA MAGOGONI aliyepigiwa debe na Mkuu mwenyewe mwaka 2006 kama sijakosea anaitwa nani vile bibie!
[/QUOTE]jme,
Source ni Hamy-D! You are wasting your time! Ili awe credible for once aweke japo voucher mmoja tu, au no ya Cheque. Inaelekea hajawahi kufanya utawala hata kidogo! Ni ofisi gani fedha zinatolewa Kama Karanga? Watahangaika mpaka watachoka.
UOTE=jme;9163650]Tatizo lako huwa unakuja na habari ukiuumbuliwa huleti ushahidi na unaondoka jamvini kimyakimya wanabaki wenzako wanajibu na kuuliza mwenyewe
Na hawataki kukaguliwa kwa hesabu zao, wajinga ndio waliwao, wanachangishwa kwenye mikutano!
source ya habari mkuu usilete porojo za kupaka watu matope ili kuwatoa kwenye inshu ya katiba .tanganyika kwanza mambo mengine baadae
Na hawataki kukaguliwa kwa hesabu zao, wajinga ndio waliwao, wanachangishwa kwenye mikutano!