watanzania tulinyima ufahamu basi.lkn wakati ukifika ukweli utakujaga patikana.tunapandikizwa chuki na mitandao tu na tulivowajinga tunaamini.iki chama kina ukabila ukweli utabaki palepale.kutaka uenyekiti wa taifa ndo kulikomfikisha hapa zitto. wanaotenda madhambi makubwa ya kutafuna ela za ruzuku ndo wanaonekana wasafi. mchaga hafanyi kitu kwa hasara ukweli utakujaga julikana baadae. mm nadhani nguvu ingetumika kuulizia matumizi ya pesa ya ruzuku na izo wanazojikopesha lkn hamna mtu anayeona hayo tumepumbazwa tu. Zitto c sawa na Sugu,lema huyu popote hata nje ya siasa ataishi tu. mtu anauliza upo ushahidi wa tuhuma zoote za Zitto anasema ziliwekwa ktk mtando basi akili yake imeishia hapo hawezi kujiongeza. tusubiri october muone anguko.