Zitto jibu hili tafadhali

Zitto jibu hili tafadhali

Mu-sir ...wale wanao uza kondom, wazee wamichepuko nao pia ni non profit organization, na wao wanajiendeshaje !? :noidea:

Haya ndiyo maswali tnayohitaji yajibiwe na huyu muheshimiwa..kiukweli mimi sijui non profit organization inendeshwaje.

 
Hivi BAVICHA bila kutoa povu siku kwenu haiwezi pita?Siasa za leo ni kushindana kwa hoja, wala siyo uandishi wa Riwaya usio na ushahidi kama unavyo jaribu kuhadaa Watanzania.Zitto hana nyumba hata moja Kasulu, sijui majumba hayo mawili ya kifahari umeoteshwa na Chagadema?

Ukichangia kwa uwazi zaidi pasipo hasira utajenga hoja nzuri hakuna Bavicha wa Bawacha hapa ni Hoja tu..karibu

Kwani Zitto c mshamfukuza mnamfatafata wa nn? Mbona yy yuko kimya na mambo yake... Mnamtafuta nn? Anawaumaa, au?

Hakuna uchama na wala mimi sina uchama hapa kama umeelewa msingi wa hoja yangu.
 
Udaku wa aina hii hauna hadhi ya kuwa kwenye Jamii Forum labda uupeleke kule Glopal Publishers. Wakati mwingine kabla ya ku post topic uwe walau unajiuliza kama ina kiwango na siyo una post vitu ambavyo havina uhakika na hata ukimsimulia motto hawezi kukubali

Haya hebu tuambie chanzo cha hizo taharifa za mali za ZZK, kama chanzo ni wewe mwenyewe basi leta uthibitisho!

Mkuu embu nipe standards za udaku na viwango vya hadhi ya habari hapa JF. umeelewa msingi wa hoja au unachangia tu kwa sababu una access ya JF.

source ya habari hii kama hukusoma vizuri ni mitandao ya kijamii kama ilivyo JF pia elewa acha kukariri.
 
Duu, nawe, ndo akili gani? We unamilki nini, Mungu akurudishe akhera kama huna akili ya kuzalisha maradufu

Kamwe usitumie hasira na mawazo mgando elewa habari kwanza kabla ya kuchangia hapa si chitchat mkuu
 
siwezi kupoteza mda kwa ksoma hekaya ya kusimuliwa, jamani watanzania hebu tujaribu kuacha sias nyepesi na zisizo na tija kila kukicha anandikwa zitto humu ni kweli zito anaweza na ni mwanasiasa makini, hivi la kumuandama kila kukicha ni kuzidi kumupa umaaurufu, wakti tayari umaarufu anao jaribu kuandika logic hata kama umesoma kwa gazeti hebu tumia akili yako kuchambua maana hawa waandishi wa sasa mpaka mbunge aseme au furani aseme ndo wanaandika,
 
wewe nenda kwa mtei mbowe slaaa tupe mali zao tuone achaa hizo, asiyeijua cdm ndiye utakaye mweleza hizo porojooo zako zito amethubutu, hao je ???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
mwandishi umechelewa ndg huyo si saizi yenu na hachafuliki kwa staili hii. ungeanza na Mbowe ututajie mali zake tuone nae ni mzalendo kweli?
 
Hiyo iliyotajwa ni thamani ya mali zinazojulikqna tu, je zile zisizofahamika au kuwekezwa kwa majina mengine ya marafiki kama ile ya Leka Tutigite zina thamani gani mbali ya cash aliyo nayo?[/Qmajungu, kwani zzk amewafanya nn c mumuache jamani,
 
Hii habari inasambaa katika mitandao ya kijamii ni bora ukaitolea ufafanuzi naiweka kama nilivyoipokea.

Kamati Ya Zitto Kabwe ilikuwa si halali Maana kwa mfumo huu nayeye yumo kwenye mgao.
Katika magaazeti ya leo nilipitia kichwa cha Habari cha Gazeti la Mwananchi. Kilichosema Zitto anika mali zake! Sasa naomba Tuwe makini sana na wanasiasa kama hawa Ambao wamejivika majoho ya uzalendo kwenye macho ya watu lakini Si wazarendo ni wapenda sifa mabepari na niwatu wakujipendekeza! pendekeza.

Zitto amekua Mbunge wa kigoma Kasikazini kwa muda wa miaka Tisa 9 Zitto alitakiwa kumiliki mali zisizodi Milioni 886) lakini Zitto anamiliki mali ninazozikadiria Bilion 1.8 tena hizi nizile zinazo onekana kwenye macho ya watu!

anamiliki Gholofa Pale dodoma mjini, anamiliki gari la kifahari aina ya Hummery) ambayo ni moja ya magari ghari Duniani Tanzania ni watu wachache wanao miliki magari ya aina hiyo ambao hawafiki hata Kumi. anamiliki Nyumba mbili za kifahari Dar es salama) Moja ipo masaki ambayo anaishi yeye
Mwenyewe akiwa Dar kwa ajiri ya starehe.

Anamiliki Nyumba mbili tena Za kifahari. pale kasulu kigoma
Achilia mbali umiliki wa nyumba Na mali hizo zote nilizokadiria kufukia bilion 1.8
anamiliki mgodi wa madini Diarasii kongo) huyu huyu zitto anaejiita mzalendo kunakipindi aligoma kuchukua posho bungeni kunakipindi alisema! Wabunge wasitembelee magari yakifahari huyu huyu zitto kunakipindi alisema suti ni ishara ya ubepari kwahiyo kana kwamba anaye vaa suti ni bepari lakini leo ndo mavazi yake!

Huyu huyu Zitto anajiita mzalendo na anayesema Act) ni chama cha upinzania katangaza kugombea majimbo waliyoyashika upinzani) Yaani majimbo ya chadema ati atagombea kawe, kwa halima mdee, Ubungo kwa John Mnyika, Singida kwa Tundu lisu, mbeya mjini. kwa sugu, na iringa kwa peter Msigwa,
Tangu nianze kufwatilia siasa Za Kimataifa Tangu nianze kufwatilia wanasiasa, Nakiri kwa mara yakwanza nakutana na mwanasiasa Ndani ya Tanzania ambaye ameishiwa sera ( Policy Forum) ajenda na miundo mbinu ambayo ndio silaha ya kuitwa mwanasiasa. Amekosa ajenda kaona ajenda nikugombania majimbo na chadema namshauri aende jimbo la Tundu mwana wa lisu)

Zitto naomba nimuulize swali la karibu tu! hivi zitto wewe ni mzalendo? zitto nikwanini? Umekua ukiongea vitu bila kujifikilia ulipotoka na upolipo sasa? Zitto nikwanini? umekua na wasiwasi sana juu ya hatma ya Kurudi bungeni?

Watanzania kuna haja kubwa yakuangalia watu wakuwapa dhamana yakusimamia Rasimali zetu! Haiwezekani mtu awe mbunge wa miaka 9 amiliki mali zote hizo halafu anajiita mzalendo anajivika joho la uzalendo kwa makusudi kabisa

Vielelezo tafadhali maana tumeshachoka na maneno ya umbea kuhusu zitto
 
Hii habari inasambaa katika mitandao ya kijamii ni bora ukaitolea ufafanuzi naiweka kama nilivyoipokea.

Kamati Ya Zitto Kabwe ilikuwa si halali Maana kwa mfumo huu nayeye yumo kwenye mgao.
Katika magaazeti ya leo nilipitia kichwa cha Habari cha Gazeti la Mwananchi. Kilichosema Zitto anika mali zake! Sasa naomba Tuwe makini sana na wanasiasa kama hawa Ambao wamejivika majoho ya uzalendo kwenye macho ya watu lakini Si wazarendo ni wapenda sifa mabepari na niwatu wakujipendekeza! pendekeza.

Zitto amekua Mbunge wa kigoma Kasikazini kwa muda wa miaka Tisa 9 Zitto alitakiwa kumiliki mali zisizodi Milioni 886) lakini Zitto anamiliki mali ninazozikadiria Bilion 1.8 tena hizi nizile zinazo onekana kwenye macho ya watu!

anamiliki Gholofa Pale dodoma mjini, anamiliki gari la kifahari aina ya Hummery) ambayo ni moja ya magari ghari Duniani Tanzania ni watu wachache wanao miliki magari ya aina hiyo ambao hawafiki hata Kumi. anamiliki Nyumba mbili za kifahari Dar es salama) Moja ipo masaki ambayo anaishi yeye
Mwenyewe akiwa Dar kwa ajiri ya starehe.

Anamiliki Nyumba mbili tena Za kifahari. pale kasulu kigoma
Achilia mbali umiliki wa nyumba Na mali hizo zote nilizokadiria kufukia bilion 1.8
anamiliki mgodi wa madini Diarasii kongo) huyu huyu zitto anaejiita mzalendo kunakipindi aligoma kuchukua posho bungeni kunakipindi alisema! Wabunge wasitembelee magari yakifahari huyu huyu zitto kunakipindi alisema suti ni ishara ya ubepari kwahiyo kana kwamba anaye vaa suti ni bepari lakini leo ndo mavazi yake!

Huyu huyu Zitto anajiita mzalendo na anayesema Act) ni chama cha upinzania katangaza kugombea majimbo waliyoyashika upinzani) Yaani majimbo ya chadema ati atagombea kawe, kwa halima mdee, Ubungo kwa John Mnyika, Singida kwa Tundu lisu, mbeya mjini. kwa sugu, na iringa kwa peter Msigwa,
Tangu nianze kufwatilia siasa Za Kimataifa Tangu nianze kufwatilia wanasiasa, Nakiri kwa mara yakwanza nakutana na mwanasiasa Ndani ya Tanzania ambaye ameishiwa sera ( Policy Forum) ajenda na miundo mbinu ambayo ndio silaha ya kuitwa mwanasiasa. Amekosa ajenda kaona ajenda nikugombania majimbo na chadema namshauri aende jimbo la Tundu mwana wa lisu)

Zitto naomba nimuulize swali la karibu tu! hivi zitto wewe ni mzalendo? zitto nikwanini? Umekua ukiongea vitu bila kujifikilia ulipotoka na upolipo sasa? Zitto nikwanini? umekua na wasiwasi sana juu ya hatma ya Kurudi bungeni?

Watanzania kuna haja kubwa yakuangalia watu wakuwapa dhamana yakusimamia Rasimali zetu! Haiwezekani mtu awe mbunge wa miaka 9 amiliki mali zote hizo halafu anajiita mzalendo anajivika joho la uzalendo kwa makusudi kabisa

Vip kuhusu mbowe? Anamiliki nini? Au naye maskini kama alivyokuwa nyerere?
 
Hivi BAVICHA bila kutoa povu siku kwenu haiwezi pita?Siasa za leo ni kushindana kwa hoja, wala siyo uandishi wa Riwaya usio na ushahidi kama unavyo jaribu kuhadaa Watanzania.Zitto hana nyumba hata moja Kasulu, sijui majumba hayo mawili ya kifahari umeoteshwa na Chagadema?

wewe unayepingana na mtoa hoja huna akili.wewe unafikiri zitto ni mzalendo au msaka tonge?wakati anapiga vita kuchukua posho bungeni kumbe yeye ana madili yake yanayomuingizia hela.zitto ni janga la kitaifa.ni wa kuogopa kama ukoma yaani hata ubalozi wa nyumba kumi hafai
 
wabongo povu limewatoka mpaka midomo imevunda,zitto ni msomi na ana vyanzo vingi vya mapato kutokana na mambo yake binafsi xaxa wewe poyoyo unayeuliza swali,je unamdai? acha tabia za kike!
 
wewe unayepingana na mtoa hoja huna akili.wewe unafikiri zitto ni mzalendo au msaka tonge?wakati anapiga vita kuchukua posho bungeni kumbe yeye ana madili yake yanayomuingizia hela.zitto ni janga la kitaifa.ni wa kuogopa kama ukoma yaani hata ubalozi wa nyumba kumi hafai

Mwanzoni nilianza kumchukia zitto, lakini kwa hizi thread za kijinga,kizushi,kinafki na zilizojaa chuki dhidi yake bila ushahid, nimejikuta naanza kumkubali zitto na chama cha wazalendo na kuwadhara hao wapika majungu na chama chao
 
Hujauliza swali hapo ww kilaza bali umeeleza porojo zako zisizo na mashiko.Peleka upuuzi wako ufipa au facebook ,Zitto hana muda wakukujibu mpumbav kama wewe pa1 na viongozi wako.Tunakijenga chama tu hakuna muda muda wakupoteza
Umeelewa kichwa cha habari mkuu? hebu kisome tena.
 
Mh.Zitto ni mtu muelewa,binafsi naamini kuna siku atafafanua kwa mapana namna gani na fursa alizotumia kupata huo utajiri!
Tuvute subira!
 
Back
Top Bottom