Wakuu poleni na majukumu!
Kuna jamaa mmoja tunaishi naye mtaani hapa ni askari polisi.Tarehe 2 mwezi wa pili aliomba nimkopeshe fedha kiasi na akaniambia angeirejesha mapema maana wanalipwa mshahara katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi.
Ilipofika katikati ya mwezi nikaona kimya nami nikapiga kimya,Mwisho wa mwexi umefika nikaona kimya jana nikaamua kumuuliza akasema bado mishahara yao ya mwezi wapili haijaingia.Naomba kuuliza kwa wanaojua ni kweli haijaingia au tayari maaskari wameshapata mishahara?
Assnteni wakuu
Wakuu poleni na majukumu!
Kuna jamaa mmoja tunaishi naye mtaani hapa ni askari polisi.Tarehe 2 mwezi wa pili aliomba nimkopeshe fedha kiasi na akaniambia angeirejesha mapema maana wanalipwa mshahara katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi.
Ilipofika katikati ya mwezi nikaona kimya nami nikapiga kimya,Mwisho wa mwexi umefika nikaona kimya jana nikaamua kumuuliza akasema bado mishahara yao ya mwezi wapili haijaingia.Naomba kuuliza kwa wanaojua ni kweli haijaingia au tayari maaskari wameshapata mishahara?
Assnteni wakuu
Ni kweli ilichelewa kuingia kwa zote isipokwa CRDBWakuu poleni na majukumu!
Kuna jamaa mmoja tunaishi naye mtaani hapa ni askari polisi.Tarehe 2 mwezi wa pili aliomba nimkopeshe fedha kiasi na akaniambia angeirejesha mapema maana wanalipwa mshahara katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi.
Ilipofika katikati ya mwezi nikaona kimya nami nikapiga kimya,Mwisho wa mwexi umefika nikaona kimya jana nikaamua kumuuliza akasema bado mishahara yao ya mwezi wapili haijaingia.Naomba kuuliza kwa wanaojua ni kweli haijaingia au tayari maaskari wameshapata mishahara?
Assnteni wakuu
Hivi kuna polisi nchi hii anayetegemea mshahara kweli? Kama kuna polisi waadilifu wanisamehe bure, ila asilimia kubwa wanapiga deal. Muulize huyo polisi wako yupo kitengo gani. Kupitia kitengo chake utajua kama kweli hana au fix.
Kuna mmoja nilisafiri naye alikuwa amehamishiwa Chalinze akitokea mikoa ya kusini, nikamwambia umehamishiwa eneo lenye pilikapilika nyingi kwahiyo work load inaongezeka, akasema "alhamdulillah, chalinze si haba, maana kuna magari yatokayo kaskazini, kusini nyanda za juu, kanda ya ziwa na magharibi lazima yapite hapa", nikachoka maana mie nilizungumzia uwajibikaji kumbe mwenzangu tafsiri imeelekea kwenye maslahi