damtanzania kwa ufahamu wangu mdogo nilionao kabla ya kutumia kinga daktari anapaswa ajue historia yako ya kiafya na kuna vipimo anatakiwa akufanyie. Watu hawana habari hiyo, vidonge vinanunuliwa kama lawalawa kwenye maduka ya dawa na mtu yoyote yule. Hakuna elimu wala udhibiti kwenye matumizi...
Huyu labda afe, katibu wa bunge amemteua mwenyekiti kusimamia uchaguzi na kiapo cha spika bunge la 11. Sioni dalili ya huyu nyoka kuacha kuangaza makengeza kuona ziliko pesa za watanzania walala hoi.
Kutokuvaa uniform, kutoka nje ya mstari aka overtaking kushoto, kukatiza route, mashindano ya kifala na madereva wengine wa daladala, kwa kifupi mengi mnajitakia wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.