Dada mumeo hukumjua tu toka mwanzo km ni mchepukaji anafanya hivyo toka yupo na wewe hiyo ni tabia yake.
Ni bora uelezee kwenu hata siku yakikushinda inajulikana sababu ni nini.
Hiyo aibu yako itakuponza utaendelee kuumia maisha yako yotel
Kwa mumeo baki kwa malengo yako tu...lakini ndoa...
Na hiyo mimba yako ni bora tu uwaambie wazazi wako usifikiri utaweza kuvumilia hili....wambie watamsema hata yeye anaona aibu kuitwa kikaoni sababu ya umalaya. Atatulia au atachapuka kwa akili hutahisi kitu tena.
Kuhusu simu utashika tu kama unampenda sababu humuamini tena.
Pia ongea nae...
Hajui kuwa kuna housegirls wanakuja nyumba za watu kuvuruga tu ndoa kujifanya wanajua caring kumbe wanawinda.....bora tu afukuze mapema kabla ya kufikwa na aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.