Recent content by Whiteday

  1. W

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

    Pumzika kwa amani dada na pole kwa wafiwa.
  2. W

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Shoga umetania au? Mana hayo maumivu yake ungejua usingesema hivyo.
  3. W

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Dada mumeo hukumjua tu toka mwanzo km ni mchepukaji anafanya hivyo toka yupo na wewe hiyo ni tabia yake. Ni bora uelezee kwenu hata siku yakikushinda inajulikana sababu ni nini. Hiyo aibu yako itakuponza utaendelee kuumia maisha yako yotel Kwa mumeo baki kwa malengo yako tu...lakini ndoa...
  4. W

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Na hiyo mimba yako ni bora tu uwaambie wazazi wako usifikiri utaweza kuvumilia hili....wambie watamsema hata yeye anaona aibu kuitwa kikaoni sababu ya umalaya. Atatulia au atachapuka kwa akili hutahisi kitu tena. Kuhusu simu utashika tu kama unampenda sababu humuamini tena. Pia ongea nae...
  5. W

    Mwanamke usivunje ndoa kisa michepuko ya mumeo

    Wanaume wengi uzi huu umewaboa wameukimbia sbb hawataki kuambiwa ukweli
  6. W

    Mwanamke usivunje ndoa kisa michepuko ya mumeo

    Mnachepuka mpk mnashindwa kulala na wake zenu sijui mnapotea hisia au mnarogwa!? Mnaharibu ndoa zenu kwa mikono yenu kwanini msiachwe?
  7. W

    Mahusiano yanataka kuniumiza akili

    Kikao kipya kimeamua mbususu iliwe baada ya ndoa...other than that ni umalaya tu WADADA MMESIKIA ?
  8. W

    Nimetoka kusuluhisha ugomvi mkubwa wa Mdogo wangu na mke wake

    Wanaume bana mnapenda kufichiwa kila kitu chenu cha aibu....ingekuwa ndo mwanamke hapo mngesema chepuka au mwache huyo hakufai.
  9. W

    Dada wa kazi anajua ratiba zangu kuliko Mke wangu!

    Ulivyosema pia inawezekana ni kujituma ila na vp km kaja kwa malengo yake binafsi? Labda tujue kabila gani huyo msichana kwanza.
  10. W

    Dada wa kazi anajua ratiba zangu kuliko Mke wangu!

    Hajui kuwa kuna housegirls wanakuja nyumba za watu kuvuruga tu ndoa kujifanya wanajua caring kumbe wanawinda.....bora tu afukuze mapema kabla ya kufikwa na aibu.
  11. W

    Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa

    Mnalalamika sana... Wenyewe mpo hivyo hivyo baadhi yenu tunawastahi tu.
  12. W

    Tunaomba mlio kwenye mahusiano mtushirikishe jinsi mlivyoboresha mahusiano yenu

    Ni kuacha tu kuchepuka. Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu hiyo. Raha ya mapenzi uaminifu. Happy birthday Dada.
Back
Top Bottom