Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,947
- 93,895
Katika kitu ambacho siamini saivi ni mchepuko dah
Hahah...imetokea nini mkuu?
Katika kitu ambacho siamini saivi ni mchepuko dah
Very sad,kuna muda nawazaga tu NI KHERI NISINGEZALIWA KABISAHeshima ya ndoa inayeyuka upesi kuliko barafu ya mlima kilimanjaro. Pole nafsi yangu kwa kuwa sehemu ya kizazi hichi...
Kesha bugia huyowashakutengenezA eeh
pole
Well saidHivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???
Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia
Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini
Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
mkichepuka nyie ni nature..
tukichepuka siye ni malaya..
ndo mana mnakufa haraka ...idiot
Sanamu yako tuiweke wapi mkuuHivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???
Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia
Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini
Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
Uwe na hofu ya Mungu au ibilisi hakuondoi uhalali wa wewe kuwa mwanaume na mwanaume kuchepuka hata kimawazo ni 22/7 (Pai)Hivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???
Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia
Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini
Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
Ibrahimu baba wa imaniYakobo,daudi na ibrahimu walifanya mapenzi na mwanamke zaidi ya mke wake!!je hawakua na hofu ya Mungu???!!!
Yakobo,daudi na ibrahimu walifanya mapenzi na mwanamke zaidi ya mke wake!!je hawakua na hofu ya Mungu???!!!
Iliwekwa vile ili iwe fundisho kwa sisi kuepuka kufanya vile wao walifanya.
Sababu mwisho wa yale walofanya waliona ni ubatili mtu na sawa na kujilisha upepo.
Stop being a SIMP brother, unapotosha hapa ili kupata uungwaji mkono na feminists ili wakufate PM kwa kukuona kwamba wewe ni mwanaume wa tofauti ili uwachakate papuchi zao. Men will always be men. Na simba hahukumiwi kwa kuunguruma, tumewekeana tu utaratibu wa kuishi ili kupunguza damage kwenye society ila hakuna kosa kuchakata.