Daaaa!! Mwafrika, mwafrikaaa!! Kiumbe cha ajabu kuwepo duniani, somtimes Mungu mwenyewe huwa anajishangaa hivi hiki kiumbe kilitoka wapi?!! Kwa akili kama hizi
Ni laki 3 kwa sample 3, ila utaratibu wake hadi ukapime ndio mgumu,lazima kuwe na sababu,kupitia taasisi kama mahakama,polisi,ustawi wa jamii,sio una pesa yako kesho unaenda eti kamata hawa pima,akili za kiafrika zinajulikana hata kwa Mungu.
Mbona ni simple tu kama kweli viongozi wa juu hawakubaliani na hicho alichosema ,wampinge hadharani na watoe amri vyombo vya dola vimshughulikie!!mwafrika na unafiki pacha.
Hii nchi ni ya ajabu sana,sheria ipo kabisa inayozuia upuuzi kama huu!!mtu ku record tukio la ajali na kuli post!!lakini hazina meno,wasimamizi wake hawana muda
Yaani mpira wa bongo!!sasa kosa lake ni nini?wao wanataka kusikia kile wanachokipenda tu.Ndio maana leo unaambiwa eti mo sasa amerudi kwenye timu kama zamani!!ni lini alitoka?!!
Acha tu mkuu!!kuna safari ndefu sana,sasa imekuwa ni kusifia tu,hali ya maisha ni ngumu na hao masikini ndio wanachezeshwa wimbo wa kusifia wasio ujua,wakati hao viongozi hawana shida,pesa kila siku inaliwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.