Recent content by white wizard

  1. white wizard

    Halmashauri ya Jiji imeshindwa kumsimamia Mkandarasi kuzoa taka kwa wakati Mitaa ya Kariakoo

    Kwani shida ya uchafu kwa Dar ni kariakoo tu?!! Mitaa yote tu isipokuwa sehemu chache wanakoishi wenye kipato cha kati na juu.
  2. white wizard

    Halmashauri ya Jiji imeshindwa kumsimamia Mkandarasi kuzoa taka kwa wakati Mitaa ya Kariakoo

    Tatizo wakazi wenyewe ni wachafu mno!! Nadhani umasikini na uchafu vinaenda pamoja.
  3. white wizard

    Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

    Daaaa!! Mwafrika, mwafrikaaa!! Kiumbe cha ajabu kuwepo duniani, somtimes Mungu mwenyewe huwa anajishangaa hivi hiki kiumbe kilitoka wapi?!! Kwa akili kama hizi
  4. white wizard

    Kocha wa Mamelodi amfollow Eng Hersi Said

    So what!!hii nayo ni habari?!!
  5. white wizard

    Makombola yanatumia saa manane angani halafu unategemea kumlipua Muisrael

    Ila ukiwa mfuasi kindakindaki wa Mudy lazima sometime uwe kama hamnazo
  6. white wizard

    Israel imekubali 3% ya makombora ya Iran yalipiga kambi mbili za jeshi. Yaliyodunguliwa sasa ni 97% tu

    Baadaye huwa hamkawii kuanza kulia ohooo UN,iko wapi mbona kuna mauaji ya haraiki huku!!gaza mmelia weee wala dunia haiwasikii kwani mlianza wenyewe!!
  7. white wizard

    Naomba kujuzwa gharama za kipimo cha DNA

    Ni laki 3 kwa sample 3, ila utaratibu wake hadi ukapime ndio mgumu,lazima kuwe na sababu,kupitia taasisi kama mahakama,polisi,ustawi wa jamii,sio una pesa yako kesho unaenda eti kamata hawa pima,akili za kiafrika zinajulikana hata kwa Mungu.
  8. white wizard

    Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa heshima katika Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Ankara Uturuki

    Kama Mwalimu Nyerere angeendekeza haya si angekuwa ni Prof.tena aliyebobea!!Mi afrika tuna shidaaa
  9. white wizard

    Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

    Yule ndio kiboko ya warabu,na uzuri wa sera yao!!hata kama yule mama wa akili kisoda awe rais wao bado atawapelekea moto tu !!
  10. white wizard

    Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

    Mbona ni simple tu kama kweli viongozi wa juu hawakubaliani na hicho alichosema ,wampinge hadharani na watoe amri vyombo vya dola vimshughulikie!!mwafrika na unafiki pacha.
  11. white wizard

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Eti CPA,Amosi makala!!wafrika bnana!!yaani ni shida,mbona wazungu wengi wala hukuti hayo
  12. white wizard

    TANZIA Singida: Watu tisa(9) wafariki, basi likigonga Lori

    Hii nchi ni ya ajabu sana,sheria ipo kabisa inayozuia upuuzi kama huu!!mtu ku record tukio la ajali na kuli post!!lakini hazina meno,wasimamizi wake hawana muda
  13. white wizard

    Patrick Nyembera ndio adui mkubwa wa Yanga. Wananchi tuunganishe nguvu kuingia nae vitani

    Yaani mpira wa bongo!!sasa kosa lake ni nini?wao wanataka kusikia kile wanachokipenda tu.Ndio maana leo unaambiwa eti mo sasa amerudi kwenye timu kama zamani!!ni lini alitoka?!!
  14. white wizard

    Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

    Acha tu mkuu!!kuna safari ndefu sana,sasa imekuwa ni kusifia tu,hali ya maisha ni ngumu na hao masikini ndio wanachezeshwa wimbo wa kusifia wasio ujua,wakati hao viongozi hawana shida,pesa kila siku inaliwa tu
Back
Top Bottom