Recent content by white wizard

  1. white wizard

    Hii kampeni ya nishati safi ni fake na ni porojo mwanzo mwisho

    KWani hao mnaowapatia mitungi midogo ya gesi ya 40,000 una uhakika kuwa wao hawana uwezo huo wa kuinunua?!!fuatiilia mala wamalizapo hiyo gesi ya bure huwa wanaenda kujaza tena?!!mingi huwa wanatupa kule na kuuza wanarudi kule kule kwenye kuni na mkaa..ni utapeli tu!!waondoeeni watu kwanza...
  2. white wizard

    Kumbe na mchepuko mke wa mtu anawivu

    Kwani cha ajabu hapo ni nini?!!kuwa mke wa mtu hawezi kumuonea wivu mchepuko wake?!!!mbona hayo yapo sana wewe ndio mgeni mjini mkuu
  3. white wizard

    GE2025 Mahakama yatoa Siku Saba CCM kujieleza, uteuzi wa Samia kugombea Urais

    Ni kweli lakini historia itabakia!!kuwa hata miaka hii kuna watu wachache wanaojitambua
  4. white wizard

    DSTV yauzwa kwa Canal+ kwa Trilioni 5

    Watakuwa wametuua mkuu
  5. white wizard

    Hivi Maulid Kitenge na Zembwela siwasikii Wasafi FM, kulikoni?

    Maulidi kitenge hana cheti huo ndio ukweli mkuu!!
  6. white wizard

    Hivi Maulid Kitenge na Zembwela siwasikii Wasafi FM, kulikoni?

    Zembwela hana cheti huo ndio ukweli
  7. white wizard

    Kota Moja yaungua Moto magomeni

    Na hapo mtu deni kwanza ndio bichi na kununua hizo nyumba!!Kwanza hizo nyumba japo chanzo cha moto bado hakijajulikana ila wasipokuwa makini kila mala matukio ya moto yatakuwa yanatoke sana kutokana na nature ya wapangaji wake!!wengi ni wale wenye kipato kidogo siku moja nimemtembelea jamaa...
  8. white wizard

    Nikiangalia safari ya Benjamin Sitta kwenye Siasa nashindwa kuelewa wanavijiji akina Mwashambwa watatoboa Lini!

    Ni kuishi kwa matumaini labda ipo siku na wao wataonwa!!ila yataka moyo sana
  9. white wizard

    Hamjagundua watangazaji vituo vya redio wameanza kung'olewa!?

    Cha form 4 au six unadhani kinapatikana ki rahisi hivyo tena kwa umri wao huu!!utengeneze kwanza leaving certificate!!kingekuwa cha taaluma tu ingekuwa rahisi!!
  10. white wizard

    Nina Millioni 1 nataka kununua vitu vya awali kwa ajili ya kufungua grosari (mini pub)

    hiyo pesa haiwezi kutosha,yaani creti za bia,soda,vinywaji,kodi ya pango,kukarabati eneo humo humo???huo ni mchezooo
  11. white wizard

    Usiuze kwanza Subiri Mji Ukue hapo pakishachangamka patakulipa sana

    SIki zote zali huwa ni kwa mwebye pesa tu!!masikini ni ngumu!!yaani uache kuuza eneo lako leo usubiri baada ya miaka kadhaa mbelee huku matatizo ndio kila leo yanakua andama!!Hiyo wanaweza wenyenpesa zao
  12. white wizard

    Tumia kanuni hii kutibu maumivu makali ya mgongo/ kiuno na miguu yako

    pole mkuu. vipi umefanikiwa kupata dawa? kwani na mimi wife anatatizo hilo,ili unisaidie,kwani sio mateso haya,nitashukuru
  13. white wizard

    Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Haya mambo mnasema tu bila kufikiria !!Huko mbekeni likitokea tatizo juu ya hicho kiwanja na muuzaji akatakiwa kurudisha pesa kwa mnunuzi huyo dalali atawajibika vipi kwenye kurudisha pesa aliyochukua?!! Muuzaji ni wewe wala huyo dalali hatausika tena!!tugawane karibia nusu kwa nusu?!!hata mimi...
  14. white wizard

    KERO LATRA - Dar, hii tabia ya Daladala kupandisha nauli Usiku mmeipitisha kwenye maamuzi yenu ya taasisi?

    Mkuu wewe ni mgeni wa dar? mbona ni kitu cha kawaida sana hicho,na LATRA walishasema huo ni ujinga wa ABIRIA,kwani mkubali kulipa nauli ambayo sio halali?na cha ajabu ukionekana mbishi hao hao abiria ndio wataanza kukutukana kuwa kama huna pesa shuka chini!!!!
  15. white wizard

    Wabunge wote wa Covid 19 ni mizoga ya kisiasa, hawauziki popote, wanasaka kichaka cha kisiasa cha kuwazika kisiasa kwa heshima

    Hata hao aliokwenda huko hawawezi kupenya CCM sio wajinga hivyo,labda watafute huruma ya u dc,u Rc
Back
Top Bottom