Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 917
- 1,874
wafuasi wa lisu ndio wanachoma? fafanua mkuuJuzi singida, sijui soko gani lingine, leo Magomeni.....Wasipomwachia Lissu mambo yataendelea kuwa mabaya sana.
wafuasi wa lisu ndio wanachoma? fafanua mkuuJuzi singida, sijui soko gani lingine, leo Magomeni.....Wasipomwachia Lissu mambo yataendelea kuwa mabaya sana.
Na hapo mtu deni kwanza ndio bichi na kununua hizo nyumba!!Kwanza hizo nyumba japo chanzo cha moto bado hakijajulikana ila wasipokuwa makini kila mala matukio ya moto yatakuwa yanatoke sana kutokana na nature ya wapangaji wake!!wengi ni wale wenye kipato kidogo siku moja nimemtembelea jamaa yangu pale!!mtu anatumia mkaa kupikia ndani nyumba imejaa vitu!!unakuta chumba na sebule ila familia inayoishi humo ni kubwaHzi kota za juzi tu hapa… Duh
Wapi imeandikwa?wafuasi wa lisu ndio wanachoma? fafanua mkuu
Hapa ulimaanisha niniWapi imeandikwa?
Juzi singida, sijui soko gani lingine, leo Magomeni.....Wasipomwachia Lissu mambo yataendelea kuwa mabaya sana.
Majanga yanaikabiri Nchi kutokana na dhambiHapa ulimaanisha nini
Ohhh... sawa nimekuelewa sasaMajanga yanaikabiri Nchi kutokana na dhambi
Tuliombee TaifaOhhh... sawa nimekuelewa sasa
Upo sahihi pia hizo kota hazina maji. Ni aibu kubwa kwa mradi mkubwa kama huoNa hapo mtu deni kwanza ndio bichi na kununua hizo nyumba!!Kwanza hizo nyumba japo chanzo cha moto bado hakijajulikana ila wasipokuwa makini kila mala matukio ya moto yatakuwa yanatoke sana kutokana na nature ya wapangaji wake!!wengi ni wale wenye kipato kidogo siku moja nimemtembelea jamaa yangu pale!!mtu anatumia mkaa kupikia ndani nyumba imejaa vitu!!unakuta chumba na sebule ila familia inayoishi humo ni kubwa
basi usikute Mpemba hapo alikuwa anakaangiza maandazi gholofani na jiko la mkaaKama kichwa cha habari kinavyojieleza muda huu moto unawaka ktk hizo kotas
Baadhi ya sehemu ya jengo hilo ndio linaugua moto.
View attachment 3406920
Updates.
Mali zote zimeonekana kuteketea katikaApartment namba 0526B ndiyo sehemu ya ghofofa lililowaka moto Magomeni Kota jijini Dar Es Salaam.
Apartment hiyo ipo Block 4 wing B ghorofa ya saba inadaiwa chanzo cha moto ni mtoto kuchoma godoro.
Aidha mtoto mdogo wa miaka mitatu anahofiwa kufariki kwa kuungua na moto katika janga hilo.
View attachment 3407026
Una kinyesi kichwaniJuzi singida, sijui soko gani lingine, leo Magomeni.....Wasipomwachia Lissu mambo yataendelea kuwa mabaya sana.
Hao wachovu wamechanganyikiwaChadema mna matatizo ya akili, sasa hapo Lissu ameingia vp