Recent content by whatsapp online

  1. whatsapp online

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    ila kuna baadhi ya mitaa ni hatari sana, simaanishi ar yote
  2. whatsapp online

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    koromije mbona pazuri sana,,, nishafika.
  3. whatsapp online

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    nimetoka 2014, ila wiki ilopita nilikuwa huko. nikakutana na majanga mitaa flani ya sanx
  4. whatsapp online

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    kila mkoa una changamoto zake ila changamoto ya kuishi ka ndege ndo siipendi. Unatembea unajichunguza kama hujaibiwa ndo maisha gani haya?
  5. whatsapp online

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    Suala la mkoa wa Arusha na wizi na bangi(dawa ya kulevya) ni tatizo kwa mkoa huu. Mimi nimesomea Arusha japo sio mzawa wa mkoa huu, nimekutana na vijana wengi wenye roho za kinyama sijapata kuona. Kuna vibaka ambao ukikutana nao kwanza hawana akili za kawaida. Sasa najiuliza serikali...
  6. whatsapp online

    Nataka niwe mke wa pili

    Nahitaji sana mke wa 2. Nitumie private msg. Nipo serious, nami ni mkristo
  7. whatsapp online

    Serengeti Boys, kichwa cha mwendawazimu kilichopo Sober House kwa muda

    Afu huyu ana dalili za kugongwa mtandao (t*g*) express urself
  8. whatsapp online

    Mapenzi ya ajabu kweli

    [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, ila ukija kukata tamaa yeye ndo anaanza kukaba penalty
  9. whatsapp online

    Ukweli wanaume sio wasaliti ni nature yao

    Uzuri wengi wanatambua hilo
  10. whatsapp online

    Ukweli wanaume sio wasaliti ni nature yao

    Jamani tuongeeni ukweli, hivi ni % ngapi ya wanaume ambao tayari wana mahusiano (mke, mchumba, n.k) akipata mrembo mwingine mzuri anayejitambua atakataa kuwa nae? Mimi ni mmoja wa wanaume walioshindwa kutii kiapo, (natamani sana kutii). Hatari inaanzia pale ninaposoma biblia na kukuta manabii...
  11. whatsapp online

    Mapenzi ya ajabu kweli

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noma kweli rafiki yangu
  12. whatsapp online

    Mapenzi ya ajabu kweli

    Pole asèe. Ni shiiiida, afu ukute mke yupo ndani unahangaika na mwingine, lazima uweke ???? Mark
  13. whatsapp online

    Siku ya kwanza kupiga punyeto(masturbation)

    Mimi sikufundishwa na mtu niligundua mwenyewe. Kuna siku naoga bording huko, kila nikigusa penis stimu noma. Nikaamua kulainisha na soap, nilishangaa utamu unazidi. Mwishowe watoto wakatoka nikasikia raha sana, ilibidi iwe zoezi la kila mara. Punyeto bana hatari. Ila baada ya kumaliza boys form...
  14. whatsapp online

    Mapenzi ya ajabu kweli

    Itakuwa maana haya mambo, mwingine anaona akuliwaze tu ili uridhike maana hakuna namna.
Back
Top Bottom