Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

Jan 17, 2017
86
95
Suala la mkoa wa Arusha na wizi na bangi(dawa ya kulevya) ni tatizo kwa mkoa huu. Mimi nimesomea Arusha japo sio mzawa wa mkoa huu, nimekutana na vijana wengi wenye roho za kinyama sijapata kuona.

Kuna vibaka ambao ukikutana nao kwanza hawana akili za kawaida. Sasa najiuliza serikali imeshindwa kabisa kudhibiti hawa vijana? Jeshi la polisi lipo na sioni kazi yake, watu kila siku wananyang'anywa simu, mikoba na mali nyingine mchana kweupe na hata ukute maaskari ambao ni walinzi wetu wako karibu na hakuna wa kukusaidia.

Watalii wanaibiwa kila kukicha na hayupo wa kuwasaidia,,,, sasa nyie viongozi Mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya hizo za Arusha mjini na Arumeru mnasaidiaje wananchi kuhusu hili suala? Nadhani huu mkoa raisi wetu atafute namna ya kuusaidia.

Watu wa Arusha wanajisifia upumbavu,,, cha arusha (bangi). Afu hakuna watu wanapenda sifa mikoani kama wa Arusha,,,, ukiangalia walikotoka ndo ivo tena. Bora hata wa Dar na panya road,, jeshi la polisi la Dar linafanya kazi.

Wanaweza kudhibiti kwa kiasi kuliko wa Ar,,,, hakuna kitu. Nadhani kuna haja ya kuwapeleka kijeshi hawa watu.
 
umetoka arusha mwaka gani ? arusha siku izi hakuna matukio ya ivyo kama yapo ni kidogo sana kama mikoa mingine
 
Suala la mkoa wa Arusha na wizi na bangi(dawa ya kulevya) ni tatizo kwa mkoa huu. Mimi nimesomea Arusha japo sio mzawa wa mkoa huu, nimekutana na vijana wengi wenye roho za kinyama sijapata kuona. Kuna vibaka ambao ukikutana nao kwanza hawana akili za kawaida. Sasa najiuliza serikali imeshindwa kabisa kudhibiti hawa vijana? Jeshi la polisi lipo na sioni kazi yake, watu kila siku wananyang'anywa simu, mikoba na mali nyingine mchana kweupe na hata ukute maaskari ambao ni walinzi wetu wako karibu na hakuna wa kukusaidia.
Watalii wanaibiwa kila kukicha na hayupo wa kuwasaidia,,,, sasa nyie viongozi Mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya hizo za Arusha mjini na Arumeru mnasaidiaje wananchi kuhusu hili suala? Nadhani huu mkoa raisi wetu atafute namna ya kuusaidia.
Watu wa Arusha wanajisifia upumbavu,,, cha arusha (bangi). Afu hakuna watu wanapenda sifa mikoani kama wa Arusha,,,, ukiangalia walikotoka ndo ivo tena. Bora hata wa Dar na panya road,, jeshi la polisi la Dar linafanya kazi. Wanaweza kudhibiti kwa kiasi kuliko wa Ar,,,, hakuna kitu. Nadhani kuna haja ya kuwapeleka kijeshi hawa watu.
Sasa unawaomba msaada hawa RC na DC wkt wao wako bize wakigombania rambirmbi. Pole weeee..
 
Arusha saivi imepigwa mkeka wa double road panavutia sana baada ya kufika hivi karibuni ila baridi ni hatari mvua hazikatiki ukungu mpaka raha naipenda hii hali sababu maeneo ninayotoka haipo so Arusha ni dope wewe umeona wizi tu, hakuna sehemu hakuna vibaka.
 
Arusha saivi imepigwa mkeka wa double road panavutia sana baada ya kufika hivi karibuni ila baridi ni hatari mvua hazikatiki ukungu mpaka raha naipenda hii hali sababu maeneo ninayotoka haipo so Arusha ni dope wewe umeona wizi tu, hakuna sehemu hakuna vibaka.
kila mkoa una changamoto zake ila changamoto ya kuishi ka ndege ndo siipendi. Unatembea unajichunguza kama hujaibiwa ndo maisha gani haya?
 
kila mkoa una changamoto zake ila changamoto ya kuishi ka ndege ndo siipendi. Unatembea unajichunguza kama hujaibiwa ndo maisha gani haya?
Mdau mmoja kakuambia kibiti vipi?

Nimeishi Arusha muda mrefu sasa lakini wewe ulikua haujui Arusha ya 90s ya kina kadogoo, nyari, papaa na maharamia wengine Arusha ya leo ni Paradiso iliopo duniani.
 
Mdau mmoja kakuambia kibiti vipi?

Nimeishi Arusha muda mrefu sasa lakini wewe ulikua haujui Arusha ya 90s ya kina kadogoo, nyari, papaa na maharamia wengine Arusha ya leo ni Paradiso iliopo duniani.
ila kuna baadhi ya mitaa ni hatari sana, simaanishi ar yote
 
Back
Top Bottom