Shida hapo si kwenda kwa Mkubwa ila unaogopa Wife wako atajua kwa kuwa mambo yatakuwa hadharani.Wahi mapema mwambie mkeo una mtoto nje hilo tatizo lako litaisha.
Ingekuwa mimba ya Hela ungekimbia mkuu?wewe usikimbie majukumu kama ulimwagia hata kiungo kimojawapo cha huo mtoto atakayezaliwa kinaweza kuwa chako kwahiyo usiogope.
Kwanza inatakiwa umshukuru anakujali kati ya 500,000 alizokuwa nazo katoa 100,000 kabaki na 400,000 kwa ajili yako bado unakwapua tena.wanawake Mungu anawaona.
Mimi mwanaume mashine siangalie sura wala umbo nataka mwanamke wakupambana na maisha nianze naye hata baadaye tukigawana fifty fifty baada ya kukosana hakuna atakaye umia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.