yaan ukawa walikuwa kama wajinga flan hivi,nilikuwa siwaelew kabisa walitoka mishipa ya shingo mpaka bhs mbowe alikua anatoa macho kama ikulu kaishika tayari,lisu ndo kabisa saut had inakwama,kambatia kamewasalit wenzie wa kigoma sasa hiv amechanganyikiwa balaa,hana watu wa kukaa nao vikao vya...
Kwenye utawala huu ni lazima kila mtu awe mpole huyu mama alikuwa na kibuli sana huwez kuongea hadhalan kwamba pesa ya mboga,hvyo wamtinge tu hakuna namna na mm nasema wamtinge kokugonza huyo.
Vtu hivyo wangemuuliza jk sio magu.mtu anafanya kazi namna ile tena wanahoji nn harima ndo wakuulizwa maana hana kaz na analipya,kwa taarifa yao wapinzan wamechemka na tundu lisu anajua hilo.
Hiv kamtu kama kaharima mdem nakenyewe kakusilizwa kweli jaman,saut yenyewe hana utafikili saut ya galaton ya zaman hovyo kabisa sio hadhi ya magu takataka ile nyoooo.
NSSF kinondoni hivi kwanin wamepanga vyumba kwa mtu binafsi wakat wao ndo wanajenga majengo?????kuna mtu anakula kodi yan NSSF kinondon hii haikubaliki shilika kama NSSF linapoteza mafao ya watu makusud kabisa,nashauli hili shilika lifumuliwe na watu wakamatwe haraka ni dhihaka kwa taifa kuwa na...
dr dau hafai na wakimuacha ni kosa kubwa huyu mzee wa hovyo kuliko mnavyozan.Asilimia kubwa ya fedha hizo ziko campun ya DERM na Y&P hawa jamaa ni shemeji zake dau hyo Y&P ndo jengo lao ni mliman tower ambapo kuna NSSF kinondon opposite na mliman city tena hawa jamaa wanaendelea na ujenzi mkubwa...
ponda maswala hayo akamueleze jk muda huu sio wakat wake wala si mahala pake kila zama na utaratibu wake,wazungu wananizam sana kwa maswala ya nchi ni kwasababu walitokea kuwajibishana tena bila kumuangalia mtu uson leo hii kizaz na kizaz wako makin mpaka damu zao zinaelewa hivyo.nchi ina watu...
ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo,maneno haya hua yana maana wakati fulan sasa huyu mzee mtandao wake wote umevurugwa na magu maana kila anaye muona unamwambia magu kashaharibu system ama ya ukabila ama ya udin hivyo maisha ni magum sana.ushauri muelezen mzee huyu kuwa hata wengne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.