Recent content by west82

  1. W

    Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

    Tanzania haiongozwi na Shahada za DINI.
  2. W

    Matusi, ubaguzi wa AG Werema kwa Wazanzibar, kiburi cha Spika Makinda, wabunge watoka nje

    Kama ni kweli jaji ametamka maneno kama hayo hata mm kada nalilaani vikali sana na hatua za kinizamu zichukuliwe katika jambo hilo
  3. W

    Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

    Tatizo ni kwamba watanzani walio wengi hawapendi kusoma vitabu na wakisoma basi wanasoma kikasuku
  4. W

    Zitto ndani ya TBC-1: Atanguliza maslahi ya taifa mbele! Asisitiza misamaha ya kodi sasa basi...

    Ndugu zangu tujadili maoni na mawazo ya Zitto si kumjadili yeye.
  5. W

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Kaka sasa hivi ni TZ kwanza habari ya vyama baadaye. Shime tushirikiane kwa lengo la kujenga na tuache siasa za Uvyama ili tuijenge Nchi. Hivyo vyama siyo pepo bali ni moto kama vitatumika kunyonya maslahi ya wengi. Nadhani swali lako sintaweza kulijibu kwa kuwa mimi msimamo wangu ni Tz kwanza...
  6. W

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tena kila daraja lina makandarasi
  7. W

    Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

    Kila mtu ni genius kutegemea kwa vitu gani. Mfano wachawi wote ni magenius.
  8. W

    Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

    ukishaona hivyo ujue, watanzania wanang'amua mambo kwa kuwa tu, Tanzania hakuna chama mbadala chenye sera nzuri, ubunifu wa mipango, uzalendo na utu kama CCM. TUKIBADILISHE CHAMA KWA KUINGIZA YALE MAZURI TUYATAKAYO BADALA YA KUKIKIMBIA NA kuelekea Katika SACOSES kama Chadema. :flypig:
  9. W

    Dk. Slaa alipua ufisadi mkubwa; ataka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka

    Kama dr. Atapata Urais kwa huo umri na akili ya kutelekeza familia,pamoja na kushindwa kuwa na ndoa hadi leo, mi binafsi nina mashaka na UZALENDO alionao juu ya nchi yetu.
  10. W

    Freeman Mbowe kuteta na vijana wa Tanzania tarehe 09/12/2013

    Hakuna kipya ni yaleyale yakujadili watu badala ya sera
  11. W

    Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

    Badala ya kujadilli hoa we ujadili vitu ambavyo havikusadii na hoja inapokuja uwanjani basi tuwemakini kuijadili badala ya kujadili mtu aliyetoa hoja.Tujifunze kutoka kwa watu na tuelimike. Kwani ZITTO kusema hivyo hataki watu nawatfakali kwa umakini ya juu na waje na suluhisho kubwa na lenye...
  12. W

    Mpiga debe wa Kampeni za Ubunge wa Mbowe Ajitoa Rasmi CHADEMA na Kurudi CCM

    CDM hamna watu wakuwza kukushika uongozi wa juu kama mbowe akiondoka.maana ni mama wa chadema bila yeye ktakufa.Tena nakuomba umuheshimu sana kwa kuwa ndiye mfadhili mkuu wa chama.
  13. W

    Nasikia wanawake walio olewa ndiyo wenye wengi wenye hiv

    Mimi binafsi tangu nikiwa chuo nilikuwa ni kisikia hivyo, baada ya kumaliza na kuendelea na kazi nimeona niulizie hali hii ili niendelee kujiridhisha kama nikweli.Na kama hali hii ianaendelea wanawake wanatuogopesha kuwaoa na kuwapeleka chuo.Wana jf naomba michango yenu kuhusu hili.:kev:
  14. W

    Nataraji kumfungulia mashtaka baba wa Taifa

    Nawe mtu mzima badala ya kutoa mafunzo unatkana. umeumia kiona mtakatifu anaguswa?
Back
Top Bottom