Eti wakubwa, kuna uwezekano mtu kmaliza form four amesomea driving course akifika jeshini kuna uwezekano wakuomba kusomea course kama diploma ya procurement then anarudi kuendelea na jeshi ? Na je ataweza kufanya hivyo akiwa kwenye ajira au anapo maliza mafunzo ya miezi sita Jkt?
Wakuu samahan eti kuna umuhimu gan wakuwa na ujuzi then ukajiunga jeshi mfano diploma ya Information technology
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Jaman mm matokeo yngu ni haya then nataka nisome koz ya lab technician inawezkana au medical lab
Hist d
Engl d
Civ c
Geo d
Kisw c
Phys f
Chem d
Bios d
Math f
Nisaidieni jaman pia kama haitqwezkan nishaurin ni koz gan nawza piga tofauti na afya japo napenda sana mambo ya afya
Karubu kwa ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.