Recent content by Weks

  1. W

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    Du so sad jamn hakuna anayeshikilia uhai Wa MTU ila Mungu tu,ni kweli mtikila kafariki hata Tbccm wamethibitisha kwenye taarifa yao ya habari asubuhi hii
  2. W

    Post SMS za vichekesho na utani hapa

    filisika ujue tabia ya mke wako.....
  3. W

    Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

    prof Dr Mayo (coet) Dr kakiko Dr masaoe Dr Nyaoro Dr mrema, Prof Rubaratuka Dr Makunza haya no baadhi ya majembe ya Foe (Coet)
  4. W

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    spika kashamkubali!
  5. W

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    jamaa hachoki,ila magamba hata change anawashinda
  6. W

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    Mungu amlinde jembe,magamba yanaaibika
  7. W

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Du huyu mwanasheria mkuu Wa serikali ni kilaza kweli!
  8. W

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    magamba hayana kitu yanasikia usingizi tuu,mwanasheria Wa serikali hoi,tuwasubiri october
  9. W

    Bungeni Leo - Aprili 1, 2015: Bunge laahirishwa ghafla, Muswada wa Vyombo vya Habari kusomwa!

    ninatangaza rasmi kuwa sitakaa nijiunge ACT na wala sina mpango huo, Maneno ya mh Shibuda bungeni jioni hii
  10. W

    Kwanini mabasi ya kampuni ya New Force yamefungwa vitambaa vyekundu kwa nyuma?

    Mkuu mbona saibaba zote zina kitambaa cheusi nyuma?
  11. W

    Shambulio la gesi chafu Babylon Club Arusha

    nimeshapafaham mkuu as ante sana,kwa taarifa,wauza mawe wanapapenda sana
  12. W

    Wasichana 5 bora wanaoongoza kwa uzuri Bongo Movie

    naombeni namba ya wema sepetu au Irene uwoya
  13. W

    Shambulio la gesi chafu Babylon Club Arusha

    Babylon iko wapi mkuu?
  14. W

    Unamkumbuka Deborah Mwenda wa Radio Tanzania?

    Du mmenikumbusha mbali wakuu,Mimi hadithi ya Kibibi Jitu had I nilikuwa silali
Back
Top Bottom