Tahira ni ww unaemchukia the only trusted whistle blower aliebaki au na wewe unatetea ugali wako kama shoga mwenzio bashite kwnye ccm(chama cha mash_ga)
Kwa mwaka huu Djd_ommy kawakimbiza wanamuita the international dj japo wapo ma dj wengi wnye skills kuliko yeye ila ubaya hawajiongezi wanaishia tu kujificha kwnye radio’s n baadhi ya clubs alfu hawajibrand yan atleast na Dj ommy crazy mikelele na yeye kajitahid mwaka huu kala shavu
Umuenzi JPM raisi anaepiga hatua 3 mbele 7 nyuma..,,,watakaomuenzi labda ni wakina Bashite,Polepole,Gambo na makada wa CCM waliofaidika kwa kupewa uongozi wa kuteuliwa ila raia wa kawaida hawezi kumienzi mtu mwnye matatizo ya akili mzee wa frentford
Habar zenu wadau mimi c fundi bali niko intrested na hayo mambo ya repairing phnes software problms nilikua naomba details kdgo kuhusu haya mabox ya kuflash cmu how do they work kwa maana mm personally hufanyaga flashng,rootin n repairing imeis ila kupitia kusoma articles na post za forum xda...
Hii ndo tatizo la watanzania wengi tunachukia sna transparency Hatupendi kuonesha njia tulizopitia tunapenda kumuonesha mtu tumefika tu yaaan we usitake kujua.......we si useme umefanyaje mpaka ukaweza ila na wenzako walio nyuma yako na walipostponed wakikiosa na mwakan wajaribu kufanya kama ww...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.