Recent content by WE ARE ANONYMOUS

  1. WE ARE ANONYMOUS

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Unamfahamu huyo Satoshi Nakamoto? Siku utakayofahamu identity halisi ya Satoshi Nakamoto ndio utafahamu uhusika wa CIA na Bitcoin.
  2. WE ARE ANONYMOUS

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Mimi mwenyewe nina Ethereum token yangu mzee, so don't ask me about decentralized. Kuhusu uhusika wa CIA na Bitcoin, endelea kufuatilia utaelewa, na sijasema mpini, nimesema pini (inayotoboa puto)
  3. WE ARE ANONYMOUS

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Badala ya hizo crypto, serikali iongeze hazina ya Dhahabu na Almasi, technology ina change kwa speed kali kuliko unavyowaza and bitcoin is like a bubble, one day wenye pini (CIA) wakiamua kulitoboa litapasuka pwaaaa!!!
  4. WE ARE ANONYMOUS

    Vipi kama JF nayo ingekua na button ya Followers

    Umenena vyema, japo mimi sio mgeni, ila button haijapewa kipaumbele na hata wewe inawezekana either huna followers au kama unao, hujui wapo wangapi, cha msingi ninachojaribu kuwaza, ni button pamoja na idadi ya followers ionekane hata kwenye hizi threads, kwa kifupi iwe visible kama chuchu za...
  5. WE ARE ANONYMOUS

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Na ni wa kijinga kweli kweli! Badala ya kusema Serikali itenge pesa ije na innovation yake ya blockchain technology wewe unashauri inunue bitcoin? Looks like umekua too inspired na umeijua juzi juzi!
  6. WE ARE ANONYMOUS

    Vipi kama JF nayo ingekua na button ya Followers

    Ukienda kule Instagram, Twitter na Facebook, followers ndio habari. Hadi watanzania wengine wanauza account zenye followers wengi. Najaribu ku imagine kama JamiiForums ingekua na kitufe cha Followers, unahisi nani angekuwa na Followers wengi, na je mnaonaje hii feature ikiwa introduced hapa JF?
  7. WE ARE ANONYMOUS

    Nahitaji msaada na ushauri wenu katika hili

    Nenda hospital, yaweza kuwa Acid Reflux (GERD)
  8. WE ARE ANONYMOUS

    Msaada: Siku sita tangu nianze dawa za TB nasikia maumivu makali sana ya uti wa Mgongo

    Duuuh!! Only in Tanzania! Unamuamzishia mgonjwa madawa makali na ya muda mrefu kama ya TB while hujamfanyia diagnosis kujua kweli ana TB, aisee nimetetemeka!! Pole sana ndugu, Mungu atakuponya!
  9. WE ARE ANONYMOUS

    Mbowe mtazame kwa umakini sana Lissu

    Ukiona mtu anaandika post halafu anajitanabaisha sana kwa maneno kama "Sisi Makamanda" au "Sisi makamanda wa chadema" etc, ujue anaandika post hiyo akitokea mtaa wa Lumumba!
  10. WE ARE ANONYMOUS

    Lini Serikali itajenga barabara ya Makongo-Goba

    wameshaanza sasa! Cheers
  11. WE ARE ANONYMOUS

    Kwa hii Dew drop mmetisha

    Aaaaghhh, nilidhani wamechanganya na KONYAGI kama mbadala wa VIROBA, kumbe unamaanisha chupa!! Stupid
  12. WE ARE ANONYMOUS

    Toyota Rav 4 inauzwa.

    Nina milion 9 kamili, ni PM tufanye biashara!
  13. WE ARE ANONYMOUS

    Nahitaji Kununua Kiwanja Wilaya ya Kinondoni au Ubungo

    Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini! Kama una element za utapeli usiusogelee huu uzi,!
  14. WE ARE ANONYMOUS

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini!
Back
Top Bottom