Mimi mwenyewe nina Ethereum token yangu mzee, so don't ask me about decentralized. Kuhusu uhusika wa CIA na Bitcoin, endelea kufuatilia utaelewa, na sijasema mpini, nimesema pini (inayotoboa puto)
Badala ya hizo crypto, serikali iongeze hazina ya Dhahabu na Almasi, technology ina change kwa speed kali kuliko unavyowaza and bitcoin is like a bubble, one day wenye pini (CIA) wakiamua kulitoboa litapasuka pwaaaa!!!
Umenena vyema, japo mimi sio mgeni, ila button haijapewa kipaumbele na hata wewe inawezekana either huna followers au kama unao, hujui wapo wangapi, cha msingi ninachojaribu kuwaza, ni button pamoja na idadi ya followers ionekane hata kwenye hizi threads, kwa kifupi iwe visible kama chuchu za...
Na ni wa kijinga kweli kweli!
Badala ya kusema Serikali itenge pesa ije na innovation yake ya blockchain technology wewe unashauri inunue bitcoin?
Looks like umekua too inspired na umeijua juzi juzi!
Ukienda kule Instagram, Twitter na Facebook, followers ndio habari. Hadi watanzania wengine wanauza account zenye followers wengi. Najaribu ku imagine kama JamiiForums ingekua na kitufe cha Followers, unahisi nani angekuwa na Followers wengi, na je mnaonaje hii feature ikiwa introduced hapa JF?
Duuuh!! Only in Tanzania!
Unamuamzishia mgonjwa madawa makali na ya muda mrefu kama ya TB while hujamfanyia diagnosis kujua kweli ana TB, aisee nimetetemeka!! Pole sana ndugu, Mungu atakuponya!
Ukiona mtu anaandika post halafu anajitanabaisha sana kwa maneno kama "Sisi Makamanda" au "Sisi makamanda wa chadema" etc, ujue anaandika post hiyo akitokea mtaa wa Lumumba!
Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini!
Kama una element za utapeli usiusogelee huu uzi,!
Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.