Recent content by waya jr

  1. W

    Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

    Kumbukumbu la Torati 29:29 Mambo ya siri ni ya Bwana, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele,..."na ndio maana mambo mengine hayawezi kukuingia akilini
  2. W

    CHADEMA Kumuondoa Lema Arusha

    "hakuna dhambi kubwa kama dhambi ya uoga"-Lema,nami naongeza ndani ya dhambi ya uoga kuna unafski,huu ndio unafksi utakao waongopea wazandiki
  3. W

    TANZIA: Tumempoteza mwana JamiiForums mwenzetu, bwana Lengeju Bob

    BWANA ametoa na BWANA ametwaa jina lake lihimidiwe".huwa inauma sana haswaa ukiangalia last activity
  4. W

    Kama kawaida yao mawaziri wa Kikwete watofautiana hadharani, Mengi Arusha Kombora

    inamaana wawekezaji wazawa ndio washindanishwe kimataifa ila wawekezaji wa nje ndio washindanishwe kitaifa sio?daah hata kama ni kulihudumia tumbo kiivi badi tuangalie njaa isizidi sana kichwani
  5. W

    Kama kawaida yao mawaziri wa Kikwete watofautiana hadharani, Mengi Arusha Kombora

    k.u.m.a wewe- (kumbuka ujinga mwisho angle hii wewe)
  6. W

    Ajali Tena: Imeua 8, ni Cosata Njombe

    shukrani mkuu,mchana huu ndio ametoka kuzikwa marehemu mmoja,kesho tutaendelea na wengine
  7. W

    Ajali Tena: Imeua 8, ni Cosata Njombe

    mkuu hii ajali ilitokana na canter ambayo ilikuwa imetoka na maiti mbeya kijiji cha songwe na inasafirisha kupeleka songea,pipe za brake katika canter hivyo kupelekea gari hiyo kukosa brake,kwa sasa kitongoji cha songwe kina misiba takribani mitano,na wote ni watu wangu wa karibu!MUNGU azidi...
  8. W

    CHADEMA ni madikteta, Zitto sio mkaguzi wa mahesabu ya serikali, mmemvua uongozi!

    jaribu kutanua uwezo wako wa kufiri hapo juu sijataja zito wa chadema ila wewe umeishia kukurupuka tu
  9. W

    CHADEMA ni madikteta, Zitto sio mkaguzi wa mahesabu ya serikali, mmemvua uongozi!

    samahani kiongozi naomba nikutoe nje ya mada kidogo,eti unalizungumziaje suala la serikali kuikubalia tanesco kupandisha bei ya umeme kwa 68%??
  10. W

    Wamachinga ni kwanini Wanachoma MOTO pia OFISI za CCM??

    endeleeni kuwaza hivyo hivyo badala ya kuangalia tatizo ni nini nyie mnarukia kwenye hukumu moja kwa moja,wanochoma ofisi za ccm; 1.kwa sababu ndio chama kilichoshikilia dol.a 2.ndio chama kinachopitisha na kutetea sheria kandamizi kwa...
  11. W

    KENYA: "Sisi siyo ombaomba" | Ni maneno ya kweli au maneno ya mkosaji?!

    mkuu naandika hivi sio kwamba nimekurupuka, zimetolewa kwa shule chache!
Back
Top Bottom