Ni tangu vita vianze hajaonekana adhalani ila leo kaonekana kanena maneno kadhaa
Kwanza kasema Iran haitasurrender kwa Israel, adai anapambania haki na uhuru, hii ni baada ya Marekani na Israel kusema ajisalimishe kwa wema
Kasema hakuna kipengere cha UN kinasema hapaswi kurutubisha Uranium kwa...
Zanzibar ndo inaikandamiza Tanzania bara, yani wana serikali yao ardhi yetu ni yao ila yao sio yetu, viongozi wao wanatutawala ila sisi hatutakiwi kupata uongozi kwao, lazima Raisi au makamu atokee kwao, na wao ni kasehem kadogo tu ka nchi
Ili muungano uwe wa kweli wasingekuwa na serikali yao
We jamaa unasoma ila huna akili, dunia ya sasa inabid uelewe tu, af oa kwa kitaka kuwa na familia na sio kumfunga mtu, uko huko nje usitegemee abaki miak yote bila kuliwa, ata hapo wapo wanaomla ambao si huyo jamaa na labda huyo jamaa kashakula
Ukiacha ukaenda kwa mwengine itakuwa hvyohvyo labda...
Kuna kitu hakiko sawa hapa, inabidi kitu kifanyike, serikali isipoingilia kati uchumi utaharibika
Ni trent hapa tanzania kitu kikipanda bei ni shida sana kushuka bei, kwann
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.