Kuna kitu hakiko sawa hapa, inabidi kitu kifanyike, serikali isipoingilia kati uchumi utaharibika
Ni trent hapa tanzania kitu kikipanda bei ni shida sana kushuka bei, kwann
Wasimamie sawa, ila sisi tunaambiwaje tulipie, Tena 150k, kulipia kunakuwa na msingi gani hasa, mana kama hayo makampuni yanaleta sana bidhaa lazima wapate hella huko
Ila waarabu walishangilia mauaji ya kikatili ya Waisrael, sahv wenyewe ndo wanalia,
Kitendo cha kigaidi Hamas walofanya cha kuua familia na watu wasio na hatia wakashangilia na kuipongeza Hamas kwa ujemedali wao, sahv wao ndo wakulia hvyo kweli
Hapo ndo tofaut ya uongozi makini na uongozi unaowataka watu waishi kwa kupendana, wamependana wanaiba sasa
Kuendesha nchi ni lazima uwe na msimamo, si kila mtu anaweza
Ukitaka kujua ubora wa serikali, angalia umeme wake, hapo tu ndo utajua, vingine havionekani ni ngum
Kama nchi nzima inalalamika umeme ni shida huku miaka michache hapo nyuma tulisahau hapo shida ipo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.