Recent content by Watery

  1. Watery

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Unaboa, sisomi magazet mm, hata ka umbea mtam ila cpotez mda wng, na stor ndefndef mara nying uongo
  2. Watery

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ko huyu ndo star pekee aliempa fair well, kweli kuku ni timu ndogo sana
  3. Watery

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Walikuwa wanamsifia humu mwaka moja na nusu nyuma, sahv yana mkana, kweli haya makuku hayajielewi
  4. Watery

    Kwanini bei ya mafuta iko juu ingali bei ya dunia ni sawa na ya 2019

    Kuna kitu hakiko sawa hapa, inabidi kitu kifanyike, serikali isipoingilia kati uchumi utaharibika Ni trent hapa tanzania kitu kikipanda bei ni shida sana kushuka bei, kwann
  5. Watery

    Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

    Ni rahis kuongea kulko utendaj, mwenyew naweza kuamka kusema ntapata bilion100 ila uhalisia unaweza kuwa tofaut, nia haimaanishi utafanikiwa
  6. Watery

    Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

    Migodi yote iko hyo kanda, na ni sehem yenye matajiri wengi kulko kanda zote, ukiachana na Dsm
  7. Watery

    Nilimuonya akakana katu, leo kajikamatisha mwenyewe

    Miaka hii kugongewa ni njenje
  8. Watery

    TBS madukani ni kama wizi

    Wasimamie sawa, ila sisi tunaambiwaje tulipie, Tena 150k, kulipia kunakuwa na msingi gani hasa, mana kama hayo makampuni yanaleta sana bidhaa lazima wapate hella huko
  9. Watery

    TBS madukani ni kama wizi

    Mi ndo nashangaa, sielewi wanatutoza ili iweje Na kwa msingi gani
  10. Watery

    Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

    Sitetei uuaji ila ni bora kuangalia pande zote mbili
  11. Watery

    Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

    Ila waarabu walishangilia mauaji ya kikatili ya Waisrael, sahv wenyewe ndo wanalia, Kitendo cha kigaidi Hamas walofanya cha kuua familia na watu wasio na hatia wakashangilia na kuipongeza Hamas kwa ujemedali wao, sahv wao ndo wakulia hvyo kweli
  12. Watery

    Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

    Hapo ndo tofaut ya uongozi makini na uongozi unaowataka watu waishi kwa kupendana, wamependana wanaiba sasa Kuendesha nchi ni lazima uwe na msimamo, si kila mtu anaweza
  13. Watery

    Hata bwawa likikamilika mgao utabaki pale pale. Tusijifariji

    Ukitaka kujua ubora wa serikali, angalia umeme wake, hapo tu ndo utajua, vingine havionekani ni ngum Kama nchi nzima inalalamika umeme ni shida huku miaka michache hapo nyuma tulisahau hapo shida ipo sana
Back
Top Bottom