Kitabu chake chenye utata, In God's Name: An Investigation into the Murder of Papa John Paul I (1984), kilidai kwamba Papa John Paul I, alipatikana amekufa akiwa na umri wa miaka 65 katika vyumba vyake muda mfupi tu baada ya kuwa papa mnamo 1978, alitiwa sumu na Waashi wa siri waliokuwa...
Kuna minong'ono na maneno ya wazi kwamba kuna viumbe wa ajabu wamekimbilia katika dunia na kusababisha hofu na wasiwasi wa maisha ya binadamu wa kawaida, kwa mujibu wa mwanasayansi wa fizikia na nyuklia raia wa Canada Bwana Stanton Friedman aliwahi kunukuliwa akisema, "dunia imekua ikitembelewa...
Kweli kabisaa Africa ni mama land historia za dunia nyingi zinaanzia Africa na naweza kusema waafrica ndio wana wa Israel halisi hao wengine wanajipendekeza tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.