Usikilizwe na wewe unajipya gani?
Kwa taarifa yako uchaguzi mkuu umekwisha alieshinda ni kama mwanafunzi kumuelewa mwalimu darasani .wanachi wako pamoja na wanawakubali viongoz wao.
Wewe nan?
Mkuu kwani.sifa kuwania ubunge ni zipi? Kama mtu ndoto yake siku moja kuwa MP.
Kuwa mtumishi wa umma siyo hoja.atatoka huyu aliyemaliza chuo nae atacover naafasi hiyo.wote lengo lao kulijenga taifa.
Ameleta maada yeye kamaliza.kufikia hadi una comment means maada umeielewa vzuri.
Umeeambia ndugai kaomba kwa sababu kongwa hakuna ofisi kubwa na nzuri ya takukuru.lkn mkurugenzi kuomba ofisi ijengwe Chato.huko chato tayari ofisi IPO na ya ni nzuri ya ghorofa...kunakujuana apo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.