Recent content by wasaa9

  1. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata muundo wa Serikali za Tanzania na Zanzibar?

    Utaipata Serikalini
  2. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano ukaanza biashara na mtaji wa laki 1

    Why not..
  3. wasaa9

    JamiiForums Tanzania "Tanzania yatoa msaada kwa Mataifa ya Ulaya na Marekani" hapa sasa ndiyo ngoja niseme

    We binafsi hujiamni leo uje kuamini watu engine ..is it coming
  4. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

    Usikilizwe na wewe unajipya gani? Kwa taarifa yako uchaguzi mkuu umekwisha alieshinda ni kama mwanafunzi kumuelewa mwalimu darasani .wanachi wako pamoja na wanawakubali viongoz wao. Wewe nan?
  5. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

    Nini wangefanya ili kumaliza kabisa foleni ...ushauri wako
  6. wasaa9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi mwanamke akikuambia mfanye hivi ina maana gani?

    Umekwisha mkuu
  7. wasaa9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

    Kama umekamatika ni sawa kalipe mahari.ila tofauti na hapo umekwisha kijana. Note;vijana tupunguze tamaa kwenye mahusiano mwisho wake mbaya
  8. wasaa9

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nifanyeje ili kumrudisha mpenzi aliyeniacha au avutiwe tena na mimi siku akiniona?

    Una kazi? Una gari?
  9. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Msaada, nahitaji chumba cha kupanga Dar es Salaam

    Karbu
  10. wasaa9

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Epson l805 na boxer 150

    Picha please ya hiyo boxer
  11. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Nauza viti vya saluni ya kiume

    Ni hivyo viwili oo
  12. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

    Mkuu kwani.sifa kuwania ubunge ni zipi? Kama mtu ndoto yake siku moja kuwa MP. Kuwa mtumishi wa umma siyo hoja.atatoka huyu aliyemaliza chuo nae atacover naafasi hiyo.wote lengo lao kulijenga taifa.
  13. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

    Mkuu, ndiyo tayari wameshatia nia .je hadi Leo hii umesiikia kusitishwa mshahara kwa mtumishi yeyote ndani ya nchi yetu Tanzania.
  14. wasaa9

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai kumuomba Rais Magufuli ajenge Ofisi za TAKUKURU Kongwa ni sahihi?

    Ameleta maada yeye kamaliza.kufikia hadi una comment means maada umeielewa vzuri. Umeeambia ndugai kaomba kwa sababu kongwa hakuna ofisi kubwa na nzuri ya takukuru.lkn mkurugenzi kuomba ofisi ijengwe Chato.huko chato tayari ofisi IPO na ya ni nzuri ya ghorofa...kunakujuana apo?
Back
Top Bottom