Recent content by Warya_warrior

  1. W

    Ish Ish Aaaa....

    Bangi na pombe kali ni hatari kwa maisha yako.
  2. W

    Naomba kujua vitu vya kufanya ili niweze kuoa Mwarabu

    Wanunulie wazee wake mchele si unajua waarabu na mchanga wa peponi. Good luck
  3. W

    Bila wakoloni kuja kutawala Africa,Je Africa tungekuwa wapi leo?

    Tungeepuka magonjwa mengi sana ya kimwili na kiakili. Jua kwamba wazungu ndio walioigawa africa ili watumie mbinu za "devide and rule" kubagua watu ndio kazi yao.
  4. W

    Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

    Mhenga alisema mwenye macho haambiwi ona.
  5. W

    Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

    Mhenga aliyesema mganga hajigangi
  6. W

    Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

    Huyu ndiye Mhenga aliesema duniani ni wawili wawili
  7. W

    Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Daah ni shidaaaaa
  8. W

    Kicheko Ni Afya, Njoo Uondoe Stress Hapa Muhimu Kwa Afya Yako

    Kiti moto mkuu[emoji23][emoji23]
  9. W

    Halima Mdee aishiwa nguvu, tangu afikishwe Polisi Oysterbay aligoma kula

    Labda kapewa msosi asioupenda, kwani hamna menu pale?
  10. W

    Halima Mdee aishiwa nguvu, tangu afikishwe Polisi Oysterbay aligoma kula

    Dah! Huyu dereva anakimbiza sana hili [emoji590] akiambiwa punguza mwendo unashushwa porini.
  11. W

    Kicheko Ni Afya, Njoo Uondoe Stress Hapa Muhimu Kwa Afya Yako

    Hatari. Nyerere alisema wanawake mnakalia uchumi [emoji527]
  12. W

    Wimbo wa kipindi cha Majira cha Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD)

    Mkuu naomba unirushie kama unaweza. Shukran
  13. W

    Beautfully Girl from Somalia... Rwanda wajipange sana....

    Mkuu labda ulikuwa kweli ndani ya glass au una bamia.
  14. W

    Polisi mwingine Zanzibar afumwa akichukua rushwa kwa mtalii

    Bora wao wanafanya ibada ila maaskofu wanalala na kwaya boys, mungu hapendi hayo.
Back
Top Bottom