KANISA KATOLIKI ndio walioweka.
Kama ni kosa au sio kosa, kwa mtazamo wangu ni KOSA, kwa aliye mKatoliki - kwasababu hayo ni mapatano/makubaliano ni sheria ya kanisa. Kula nyama kama kanisa lako limekataza na wewe UMEKULA huo ni UTOVU wa nidhamu 🤣🤣. Na KIROHO ipo wazi kabisa, ukivunja...
KUTOKULA nyama IJUMAA KUU ni Mojawapo ya AMRI YA KANISA(KATOLIKI)!
"SHIRIKI LITURUJIA JUMATANO YA MAJIVU, NA IJUMAA KUU ILIYO SIKU YA KUACHA KULA NYAMA"
Hapo sio swala la kejeli braza. Kwa kifupi ndio iko hivyo, Kwenye maandiko ipo. "kama jina lake lilivyo, ndivyo alivyo" 1sam 25:25. sasa hapo nimekejeli wapi? Kama unahisi nimekejeli samahani sana. Sikua na nia hiyo.
Kwa mimi binafsi nina wasiwasi sana juu ya hilo jina unalotumia la KUKU MWEUSI. Kwa kawaida jina la mtu na mtu, vina uhusiano sana. Kwa hiyo kwa huo muda uliotumia hamna tofauti sana na huyo ndege. Anyway ngoja wataalam waje.
Hahahaha Paskali!
Nimesoma na kurudia rudia. Umefanya kusudi, namna uliyotumia kufikisha ujumbe huu nimeikubali.
Kukuelewa hapa inataka utulivu wa kidogo.
" ..... Fulizeni kutazama lakini msione"
MWANZO NILISHANGAA LEO PASKALI IMEKUAJE... ILA NIMEKUELEWA.
Dah.. Kubenea vs Mondi
😁😁😁
DUH...
USHAURI wa ni nini hapo? We endelea nae, HUENDA akabadilika baadae.
Maana kuna msemo unaosema "Mwenye macho haambiwi .....", " HUJUI kusoma HATA picha....."
INAONEKANA unampenda sana, sasa wewe komaa uone mwisho wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.