Waziri mwenye dhamana tunaomba ufanye kazi na Tanesco Dar. Sisi wananchi wachini tunashinda gizani kwa masaa 24. Leo wamekata umeme saa nne asubuhi na wamerudisha saa 12 jion ndani ya nusu saa wakakata tena hadi sasa hakuna umeme wala taarifa zozote. Hatukatai umeme kukatwa ila basi tuzingatie...
Nitakribani mwezi mzima umepita, kumekuwa na changamoto kubwa sana katika system ya HESLB. Mfumo unagoma na siku zinazidi kwenda lakini changamoto nyingine ni kwamba hata huduma kwa wateja sio rafiki.
Tafadhari wenye mamalaka tunaomba muingilie kati suala hili.
Wakuu karibuni tupeane maarifa ni jinsi gani ulipata kazi/ajira yako, ilikutoa motisha kwa ndugu zetu wahitimu ni mazingira gani yanaweza kukusaidia kupata kazi.
Kuna umuhimu wa kuundwa tume ya wataalamu wa uchumi na kodi ili kufanya reform ya TRA hii itasaidia kuendeshwa kisasa. Haiwezekani mtu anakodi anataka kulipa na bado akapata usumbufu
Leo ni siku ya tatu tangu vyuo vitoe majina ya awamu ya tatu kwa vijana wa kujiunga na chuo. Cha kushangaza kuna vijana wengi ambao wamefanya vizuri darasani lakini hawajaweza kupata vyuo.
Wakipiga simu vyuo husika wanaambiwa udahili kwa mwaka huu umeisha na TCU wako kimya tu bila kutoa...
Nimefanya interview na taasisi fulani inayojihusisha na maendeleo ya Jamii, cha kushangaza kuna baadhi ya vitu waliniomba niwasilishe nilivyompigia HR simu yake ya mkononi hapokei wala ujumbe hajibu.
Je, sio sahihi kwa HR kupokea simu ya mtu aliyemfanyia interview?
Kipindi cha nyuma tulipozungumzia ubunge tulipata picha ya mtu fulani mwenye umri mkubwa pamoja na hela za kutosha. Wabunge wengi walichaguliwa kwa sababu ya kununua kura kutoka kwa wapiga kura. Wenye nguvu ya pesa ndio walikuwa wana asilimia kubwa ya kuwa viongozi hata kama hawana karama ya...
Habari wanajamvi, mimi ni kijana niliemaliza kutoka chuo fulani hapa nchini nina uzoefu kidogo katika mambo ya monitoring and evaluation na pia nina uzoefu wa kufanya data entry katika software mbalimbali natafuta nafasi ya kuvolunteer au internship katika taasisi yeyote ili niendeleze taaruma...
[KQUOTE="baest, post: 22744979, member: 304294"]Ndugu wakubwa na kwa wadogo, wasalam!
Nipende kutoa shukrani kwa mwitikio wenu wa ushauri juu ya nini nifanye nilipokuja kuomba. Wengi mlinishauri na kunitia moyo kama fresh graduate.
Kama mjuavyo, kushukuru ni kuomba tena,
Nimekuja kuomba msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.