Recent content by WAR

  1. WAR

    Umeme bado ni kizungumkuti licha ya mito na mabwawa kujaa maji

    Waziri mwenye dhamana tunaomba ufanye kazi na Tanesco Dar. Sisi wananchi wachini tunashinda gizani kwa masaa 24. Leo wamekata umeme saa nne asubuhi na wamerudisha saa 12 jion ndani ya nusu saa wakakata tena hadi sasa hakuna umeme wala taarifa zozote. Hatukatai umeme kukatwa ila basi tuzingatie...
  2. WAR

    Naibu Waziri Mkuu tunaomba uiangalie kwa jicho la pili Bodi ya Mikopo (HESLB)

    Nitakribani mwezi mzima umepita, kumekuwa na changamoto kubwa sana katika system ya HESLB. Mfumo unagoma na siku zinazidi kwenda lakini changamoto nyingine ni kwamba hata huduma kwa wateja sio rafiki. Tafadhari wenye mamalaka tunaomba muingilie kati suala hili.
  3. WAR

    Ulipataje kazi yako

    Wakuu karibuni tupeane maarifa ni jinsi gani ulipata kazi/ajira yako, ilikutoa motisha kwa ndugu zetu wahitimu ni mazingira gani yanaweza kukusaidia kupata kazi.
  4. WAR

    Ulipataje kazi yako

    Uzi muhimu kwa wadogo zetu waliomaliza chuo na wanaopambana katika soko la ajira.
  5. WAR

    TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz

    Kuna umuhimu wa kuundwa tume ya wataalamu wa uchumi na kodi ili kufanya reform ya TRA hii itasaidia kuendeshwa kisasa. Haiwezekani mtu anakodi anataka kulipa na bado akapata usumbufu
  6. WAR

    TCU itoe muongozo kwa vijana waliokosa vyuo

    Leo ni siku ya tatu tangu vyuo vitoe majina ya awamu ya tatu kwa vijana wa kujiunga na chuo. Cha kushangaza kuna vijana wengi ambao wamefanya vizuri darasani lakini hawajaweza kupata vyuo. Wakipiga simu vyuo husika wanaambiwa udahili kwa mwaka huu umeisha na TCU wako kimya tu bila kutoa...
  7. WAR

    Ni sababu zipi zinasababisha HR kutopokea simu au kujibu email baada ya interview?

    Nimefanya interview na taasisi fulani inayojihusisha na maendeleo ya Jamii, cha kushangaza kuna baadhi ya vitu waliniomba niwasilishe nilivyompigia HR simu yake ya mkononi hapokei wala ujumbe hajibu. Je, sio sahihi kwa HR kupokea simu ya mtu aliyemfanyia interview?
  8. WAR

    Kunani mbona ndugu zetu wa kihindi hawaonekani katika umati unaomuaga Magufuli?

    Una uhakika? mbona Zanzibar wengi wamemuhaga na njian walijipanga
  9. WAR

    GE2020 Mo Mlimwengu nenda kapambane kuiwakilisha Muleba Kaskazini

    Kipindi cha nyuma tulipozungumzia ubunge tulipata picha ya mtu fulani mwenye umri mkubwa pamoja na hela za kutosha. Wabunge wengi walichaguliwa kwa sababu ya kununua kura kutoka kwa wapiga kura. Wenye nguvu ya pesa ndio walikuwa wana asilimia kubwa ya kuwa viongozi hata kama hawana karama ya...
  10. WAR

    Research Consultacy

    Habari wanajamvi, mimi ni kijana niliemaliza kutoka chuo fulani hapa nchini nina uzoefu kidogo katika mambo ya monitoring and evaluation na pia nina uzoefu wa kufanya data entry katika software mbalimbali natafuta nafasi ya kuvolunteer au internship katika taasisi yeyote ili niendeleze taaruma...
  11. WAR

    Volunteers Service Overseas (VSO) Tanzania

    [KQUOTE="baest, post: 22744979, member: 304294"]Ndugu wakubwa na kwa wadogo, wasalam! Nipende kutoa shukrani kwa mwitikio wenu wa ushauri juu ya nini nifanye nilipokuja kuomba. Wengi mlinishauri na kunitia moyo kama fresh graduate. Kama mjuavyo, kushukuru ni kuomba tena, Nimekuja kuomba msaada...
  12. WAR

    Nahitaji simu isizidi laki 2

    aina gani mkuu
  13. WAR

    Nahitaji simu isizidi laki 2

    Uko wap mkuu na iko katika hali gan
  14. WAR

    Nahitaji simu isizidi laki 2

    Kama unasimu ipo katika hali nzuri ni PM, please isiwe mchina
Back
Top Bottom