WAR
Member
- Dec 16, 2016
- 49
- 36
Leo ni siku ya tatu tangu vyuo vitoe majina ya awamu ya tatu kwa vijana wa kujiunga na chuo. Cha kushangaza kuna vijana wengi ambao wamefanya vizuri darasani lakini hawajaweza kupata vyuo.
Wakipiga simu vyuo husika wanaambiwa udahili kwa mwaka huu umeisha na TCU wako kimya tu bila kutoa muongozo wowote kwa vijana hawa nashangaa hawaoni kama wanawaongezea msongo wa mawazo.
Tafadhari wenye kuhusika na mamlaka hiz mchukue hatue kuokoa kundi hili la vijana.
Wakipiga simu vyuo husika wanaambiwa udahili kwa mwaka huu umeisha na TCU wako kimya tu bila kutoa muongozo wowote kwa vijana hawa nashangaa hawaoni kama wanawaongezea msongo wa mawazo.
Tafadhari wenye kuhusika na mamlaka hiz mchukue hatue kuokoa kundi hili la vijana.