Ulipataje kazi yako

Ulipataje kazi yako

Ushauri wangu kuwa na GPA kubwa mfano UDOM sio kigezo tosha cha kupata nafasi UDSM kirahisi ingawa unaweza pata ila kuongeza market yako ni vizuri ukawa na CPA na CISA ili kuongeza mvuto kwamba umefaulu mitihani migumu na inayoandaliwa watu wengine .
Pia husiache kuomba " to God all things are possible "
 
Siri kubwa ni kujiamini na kutokata tamaa. Vijana wengi wa sasa hawajiamini, wameaminishwa kuwa eti ni lazima mtu akuunganishe ndo upate kazi. Hiyo sio kweli japo mara ingine hutokea. Uwe na bidii kwa kila kazi inayotangazwa unahakika ni prfessional yako apply. Miye kwa siku nilikuwa naweza kutuma application hadi 7. Nilipoitwa kwenye usaili wala hata sikuulizwa suala la vyeti kwa jinsi nilivyokuwa najiamini. Badala yake ilibidi niwaulize, je hamuhitaji kuona makaratasi yangu, wakajibu no need. Nikajua tayari nishapigwa chini. Kumbe mimi ndiye niliyepata kazi ile tena kwenye international organization. Nilikuja peleka vyeti vyangu baadaye kwa ajili ya filing.
 
kila siku nilikuwa nanunua gazeti la daily news ili kutafuta kazi .siku moja nikakuta kijarida cha ppra kimeandikwa matender waliyoaward kwa watu mbalimbali
nikaangalia kampuni ambayo ilikuwa imepewa tender kubwa nikaona moja ina bilion kadhaa. nikaingia mtandaoni nikatafuta contact zao
bahati nzuri kwenye website yao wameweka namba ya simu ya mkurugenzi .nikakuta kumbe yupo whatsup nikamtext akaniambia yupo nje ya nchi akija atanitafuta.siku moja akaniambia yupo dar ila anatafuta siku anitumie nauli .sikusubiria nauli nikaja dar nikamwambia nipo dar mzee.
akaniambia basi njoo jmosi tutakuwa wote mgt njoo saa tano.
nikaenda jmosi ile wakaniinterview saa saba akaniambia jtatu mapema uje kazini .
Mungu ni mwema nipo nae hapa sasa hivi tunaishi vizuri sana kweli tajiri hana roho mbaya .nampenda sana huyu mzee.
Mkuu
Huyu boss hajakufanya mke mdogo????
Kuwa mkweli mkuu
 
Siri kubwa ni kujiamini na kutokata tamaa. Vijana wengi wa sasa hawajiamini, wameaminishwa kuwa eti ni lazima mtu akuunganishe ndo upate kazi. Hiyo sio kweli japo mara ingine hutokea. Uwe na bidii kwa kila kazi inayotangazwa unahakika ni prfessional yako apply. Miye kwa siku nilikuwa naweza kutuma application hadi 7. Nilipoitwa kwenye usaili wala hata sikuulizwa suala la vyeti kwa jinsi nilivyokuwa najiamini. Badala yake ilibidi niwaulize, je hamuhitaji kuona makaratasi yangu, wakajibu no need. Nikajua tayari nishapigwa chini. Kumbe mimi ndiye niliyepata kazi ile tena kwenye international organization. Nilikuja peleka vyeti vyangu baadaye kwa ajili ya filing.
Mkuu ningependa kujifunza mengi toka kwako
 
Dah mimi sijawahi pigika mtaani namshukuru Muumba .
Nilipomaliza six nimefundisha sana temporary ,nimefanya kazi bonite as salesman ni mtu tu aliniambia omba kuna tangazo la kazi nikaomba ,ukiniita kwenye interview umeumia so wakaniita nikapata kazi . Nashukuru sina uoga na huwa nasema ukweli kama kukosa kazi yako niikose na ndilo linalowafanya waajili wanipe kazi. Niliacha bonite nikaenda kusoma what i did nilitafuta kazi kwanza na nikawaeleza nakuja field bure waniangalie nikifaa waniajiri ,yaani wenzangu walienda field wakalipwa mpaka laki 8 per month ila mimi nilifanya field bure tu kwenye project niliyopo na siku naondoka nikafanyiwa interview ,nikiwa chuo kumalizia malizia nikatumiwa barua nimepata kazi so chuo nimemaliza rasmi Ijumaa na Jumatatu nikaenda ripoti kazini ndipo niliko mpaka sasa ,
kikubwa jiamini sema ukweli na kazi ifanye kwa ufanisi uweke ubunifu wako wenye manufaa ,kutegemea na kazi yako ila vyema uwe na data on finger tips kama kilimo kielewe hata ukipigwa swali jibu unalo la uhakika,kama ni wa tra basi likija swali jibu unalo sio swali linakuja eneo la kazi unasema subiri nifungue mafile unapoteza points za kesho kua sehemu flani au kuajiliwa at first place
 
Ushauri wangu kuwa na GPA kubwa mfano UDOM sio kigezo tosha cha kupata nafasi UDSM kirahisi ingawa unaweza pata ila kuongeza market yako ni vizuri ukawa na CPA na CISA ili kuongeza mvuto kwamba umefaulu mitihani migumu na inayoandaliwa watu wengine .
Pia husiache kuomba " to God all things are possible "
Udom inawatoa jasho sana mkuu
 
Hongera sana, aliekwambia apply bonite ni moja ya watu waliokusaidia safari yako ya ajira kwa namna flani, hivi mkuu wapi kuna nafasi mambo ya kilimo nijaribu kutupia app
Hongera ivi sales man bonite wanavigezo gan wanaangalia
 
Siri kubwa ni kujiamini na kutokata tamaa. Vijana wengi wa sasa hawajiamini, wameaminishwa kuwa eti ni lazima mtu akuunganishe ndo upate kazi. Hiyo sio kweli japo mara ingine hutokea. Uwe na bidii kwa kila kazi inayotangazwa unahakika ni prfessional yako apply. Miye kwa siku nilikuwa naweza kutuma application hadi 7. Nilipoitwa kwenye usaili wala hata sikuulizwa suala la vyeti kwa jinsi nilivyokuwa najiamini. Badala yake ilibidi niwaulize, je hamuhitaji kuona makaratasi yangu, wakajibu no need. Nikajua tayari nishapigwa chini. Kumbe mimi ndiye niliyepata kazi ile tena kwenye international organization. Nilikuja peleka vyeti vyangu baadaye kwa ajili ya filing.
Hongera sana mkuu
 
Uzi muhimu kwa wadogo zetu waliomaliza chuo na wanaopambana katika soko la ajira.
 
Wakuu karibuni tupeane maarifa ni jinsi gani ulipata kazi/ajira yako, ilikutoa motisha kwa ndugu zetu wahitimu ni mazingira gani yanaweza kukusaidia kupata kazi.
 
Binafsi nina uzoefu wa kazi ya unasihi (Psychotherapy/Counseling) kwa miaka minne, miaka 2 baada ya chuo nilipata kazi kupitia kujitolea zahanati moja hivi, nafasi zilitoka za shirika fulani hivi nika apply nikapata kazi ya mkataba wa miaka 2, ilivooisha hiyo nikaiingia mtaani, nachojikubali ni kuwa siogopagi kuingia ofisi yeyote ile ila bahati pekee niliyonayo ni kukubaliwa kwa nafasi za kujitolea, sijabahatika kuomba nikapata kazi full.

Kuanzia mwaka jana mwezi wa 10 nilienda radio station moja ya kidini hapa Dar nikaomba kazi ya kutoa maudhui ya afya ya akili na saikolojia wakasema hawawezi kunilipa, ikabidi niombe kufanya bure ila nikubaliwe kutoa namba zangu, wakakubali, nikapewa kipindi cha saa 1. Miezi kadhaa baadae upande wa TV yao wakanihitaji pia na wao hawanilipi ila sasa nimeamua nifanye bali namba za simu zangu ndo zitanisaidia kupata wateja na ninafanya hivo, hapo TV wamenipa ½ saa naamini ipo siku itafika nitatoboa maana kwa sasa nimeanza kuwa maarufu fulani hivi.

Nashukuru kupitia kujitolea napata chochote kutokana na huduma.nayotoa kwa wateja wangu.

Bado natafuta kazi huku nikijitafuta nijiajiri mwenyewe kama Professional Psychosocial & Psychological Mental Health Counseling Psychologist. Niwe na ofisi yangu kuliko kuwafata wateja makwao!

Kama kuna mtu anahitaji mtu wa namna yangu nipo hapa, iwe private hospital, school, college, NGOs etc.
 
Binafsi nina uzoefu wa kazi ya unasihi (Psychotherapy/Counseling) kwa miaka minne, miaka 2 baada ya chuo nilipata kazi kupitia kujitolea zahanati moja hivi, nafasi zilitoka za shirika fulani hivi nika apply nikapata kazi ya mkataba wa miaka 2, ilivooisha hiyo nikaiingia mtaani, nachojikubali ni kuwa siogopagi kuingia ofisi yeyote ile ila bahati pekee niliyonayo ni kukubaliwa kwa nafasi za kujitolea, sijabahatika kuomba nikapata kazi full.

Kuanzia mwaka jana mwezi wa 10 nilienda radio station moja ya kidini hapa Dar nikaomba kazi ya kutoa maudhui ya afya ya akili na saikolojia wakasema hawawezi kunilipa, ikabidi niombe kufanya bure ila nikubaliwe kutoa namba zangu, wakakubali, nikapewa kipindi cha saa 1. Miezi kadhaa baadae upande wa TV yao wakanihitaji pia na wao hawanilipi ila sasa nimeamua nifanye bali namba za simu zangu ndo zitanisaidia kupata wateja na ninafanya hivo, hapo TV wamenipa ½ saa naamini ipo siku itafika nitatoboa maana kwa sasa nimeanza kuwa maarufu fulani hivi.

Nashukuru kupitia kujitolea napata chochote kutokana na huduma.nayotoa kwa wateja wangu.

Bado natafuta kazi huku nikijitafuta nijiajiri mwenyewe kama Professional Psychosocial & Psychological Mental Health Counseling Psychologist. Niwe na ofisi yangu kuliko kuwafata wateja makwao!

Kama kuna mtu anahitaji mtu wa namna yangu nipo hapa, iwe private hospital, school, college, NGOs etc.
Elimu yako please .

Usije ukawa na kipaji kizuri Elimu certificate.

Itakupa shida kujitambulisha kwenye hizo kazi
 
Dah mimi sijawahi pigika mtaani namshukuru Muumba .
Nilipomaliza six nimefundisha sana temporary ,nimefanya kazi bonite as salesman ni mtu tu aliniambia omba kuna tangazo la kazi nikaomba ,ukiniita kwenye interview umeumia so wakaniita nikapata kazi . Nashukuru sina uoga na huwa nasema ukweli kama kukosa kazi yako niikose na ndilo linalowafanya waajili wanipe kazi. Niliacha bonite nikaenda kusoma what i did nilitafuta kazi kwanza na nikawaeleza nakuja field bure waniangalie nikifaa waniajiri ,yaani wenzangu walienda field wakalipwa mpaka laki 8 per month ila mimi nilifanya field bure tu kwenye project niliyopo na siku naondoka nikafanyiwa interview ,nikiwa chuo kumalizia malizia nikatumiwa barua nimepata kazi so chuo nimemaliza rasmi Ijumaa na Jumatatu nikaenda ripoti kazini ndipo niliko mpaka sasa ,
kikubwa jiamini sema ukweli na kazi ifanye kwa ufanisi uweke ubunifu wako wenye manufaa ,kutegemea na kazi yako ila vyema uwe na data on finger tips kama kilimo kielewe hata ukipigwa swali jibu unalo la uhakika,kama ni wa tra basi likija swali jibu unalo sio swali linakuja eneo la kazi unasema subiri nifungue mafile unapoteza points za kesho kua sehemu flani au kuajiliwa at first place
TATEPA.
 
Back
Top Bottom