ninacho kifahamu ni kuwa wamiliki wa magari madogo ambayo yalikuwa yakiendeshwa kama taxi Arusha walitakiwa wayachole mstari kuonesha kama ni taxi ...wachache walitii wengi wao waligoma na harakati nyingi walizifanya ili tuu wasichore hiyo mistari aambayo ingewapelekea kulipa mapato...
waziri na Naibu Waziri wa wizara ya Afya... Hospitali zetu zina changamoto lukuki na haswa kwenye upande wa utoaji huduma , fanyeni ziara huko mawodini mtaibua mengi
Ndugu zangu heri ya mwaka mpya 2016...
Ndugu zanga ni mwaka mpya 2016 na tuna kila jambo la kumshukuru Mwenyezi kwa kila jambo.
lakini binafsi nna jambo linalonitatiza na sijui kama linaweza kupata suruhu ya haraka nalo ni Hospitali ya Rufaa Muhimbili .
Muhimbili ni hospitali ya rufaa kama...
sio kama nawapigia promo bali wako vema ... nawazungumzia ngorika hawa hawana biashara ya kuweka bus kwenye hotel za njiani nusu saa na ukipanda la kwanza saa saba uko moshi
sio hilo tu kasema(gwajima) huwa anarekodi kila mazungumzo ; sasa mtizame(gwajima) anavyojua kulipuka :blabla: endapo akivurugwa ...chukulia mmesha tofautiana na clip yako yakuomba msaada wa kiroho anayo sipati picture :scared:
Aisee hii inawezekana ikawa ni kweli ... hivi karibuni nilijiuliza kuna siri gani na cheni, vidani na pete za silve mbona kama zimeibuka kuwa na umaarufu mkubwa katika siku za karibuni ...
sasa nimepata jawabu
hali ni mbaya kuliko mtu yoyote anavyoweza kudhani... watu wakitaka kuliona hili; siku moja ifanyike zoezi maaluam la kushtukiza .. wizara ya afya washirikiane na wizara ya mambo ya ndani kupitia kikosi cha usalama wa barabarani.
wachague kituo mfano ubungo - stand ya mkoa au hata kibaha kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.