MWAKITWINO
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 227
- 121
Mimi kuna mtu ananitafuta anipeleke huko harafu kaja kwa miguu ofisini kwangu hali mimi nina gari je nitaamini vipi.
Tumia akili ndogo tu.
Jiulize na ujipe majibu kwamba:
Ushawahi kuona sehemu yenye pesa watu wanaitana?
Je anayekushawishi yeye ana mamilioni?
Hizo ni akili zinazotumiwa sana na waganga wa kienyeji..atakudanganya anakutengenezea utajiri wakati yeye ni maskini wa kutupwa.
Tamaa mbaya.
Bado mgeni na magari, mshamba kweli, ulitaka aje na chop pum... Bu.Mimi kuna mtu ananitafuta anipeleke huko harafu kaja kwa miguu ofisini kwangu hali mimi nina gari je nitaamini vipi.