Evans Martin
Senior Member
- Jan 14, 2014
- 156
- 36
- Thread starter
- #21
Upo mkuu tena sana kuwa makini
sawa mkuu nmekuelewa.
Upo mkuu tena sana kuwa makini
Ukimwi upo kwenye Tv tu na radio
hivi ni kweli ukimwi umeisha nguvu, au ndo umeshazoeleka..???
Hapana hali ni mbaya kama huamini tembelea vituo vya PASADA uone! Kwa mfano kituo kimoja tu cha PASADA Temeke kuna maambukizi mapya 300 daily!!!! Hali nimbaya
hali ni mbaya kuliko mtu yoyote anavyoweza kudhani... watu wakitaka kuliona hili; siku moja ifanyike zoezi maaluam la kushtukiza .. wizara ya afya washirikiane na wizara ya mambo ya ndani kupitia kikosi cha usalama wa barabarani.
wachague kituo mfano ubungo - stand ya mkoa au hata kibaha kisha wasimamishe basi moja wapo na wawapime abiria woote...ndio mtagundua kizazi mnacho ishi ni cha namna gani
hali ni mbaya kuliko mtu yoyote anavyoweza kudhani... watu wakitaka kuliona hili; siku moja ifanyike zoezi maaluam la kushtukiza .. wizara ya afya washirikiane na wizara ya mambo ya ndani kupitia kikosi cha usalama wa barabarani.
wachague kituo mfano ubungo - stand ya mkoa au hata kibaha kisha wasimamishe basi moja wapo na wawapime abiria woote...ndio mtagundua kizazi mnacho ishi ni cha namna gani
ukimwi haupo bna na ata kama upo basi una wenyewe
Ndiyo maana nilistaafu sikunyingi.
Ukimwi upo sana mkuu, ila siku hizi ukimwi si kama enzi zile za kuwaona wagonjwa kwa macho kutokana na matumizi ya dawa za ARV, wote tunaonekana wazima, mgonjwa anajijua mwenyewe na walio karibu yake. Usipoteze umakini katika hili.hivi ni kweli ukimwi umeisha nguvu, au ndo umeshazoeleka..???
Ukimwi upo sana mkuu, ila siku hizi ukimwi si kama enzi zile za kuwaona wagonjwa kwa macho kutokana na matumizi ya dawa za ARV, wote tunaonekana wazima, mgonjwa anajijua mwenyewe na walio karibu yake. Usipoteze umakini katika hili.
Namshukuru mungu my wife jana alimpeleka mtoto kliniki akaambiwa mtoto hapimwi uzito mpaka mama yake apime vvu ndipo akapimwa na kukutwa ni mzima saafii kabisa kwamajibu yake tu na mie hofu imepungua kwa kiwango kikubwa sana.