Mfikemo Hotel Mbeya

Mfikemo Hotel Mbeya

Wadau niko njiani kuelekea jijini Mbeya. Sijui nifikie hotel gani yenye usalama kwani katika kuulizia nimeelekezwa Mfikemo hotel iliyopo Mwanjelwa.

Je, ni kweli iko kwenye mitaa salama?

Fikia KWALE TRAVELLER'S ipo karibu na carnival ...pametulia sana juzi nili lalapo!
 
... Bei ni nzuri ni safi na wahudumu ni wanyenyekevu sn.

mkuu bei nzuri ni kiasi gani hicho!!angusha mhudumu mmoja kama ni wa kike mkuu si unajua tena jasiri haachi asili...huo ndo uanamme!
 
Hii iko maeneo gani Mkuu?

Kuna moja(cikumbuki jina) ina tangazo kuwa mkiwa jinc 2 tofauti cheti cha ndoa ni lazima ni lazima. Hii ipo Mbalizi Rd

ni nasemea ile nyuma ya stand kuu karibu na 4Js ina sheria kama hizohizo.nje wamechora watu me na ke na jeneza.
sijui kama ilishabadika sikuhizi.
 
hii imechoka sana japo ipo katikati ya mji. lift valley nayo choka. kwa mjini ni hill view,ikifuatia peace of mind na labda mount livingstone.

Duh aisee! Mbeya nimekua mgeni sasa kumbe kuna zaid ya Mby Peak??
 
Duh soweto kulikuwa na Jambazi mmja alikuwa anaitwa jombi alikuwa na garage mitaa hyo

Jombi yule jambazi wa magari wa miaka ya 90?

Mbona alikamatwa na kufungwa au alitolewa jela?
 
Mfikemo hotel ni sehemu salama first time nipofika mbeya ndio nilifikia ni sehemu nzuri sana
 
Next time fikia "Ilongostan",ipo karibu na Stand kuu. Niburudaani kabisa.
 
Wadau niko njiani kuelekea jijini Mbeya. Sijui nifikie hotel gani yenye usalama kwani katika kuulizia nimeelekezwa Mfikemo hotel iliyopo Mwanjelwa.

Je, ni kweli iko kwenye mitaa salama?
Kaa huko ni Mwanjelwa na ikombali sana na barabara kuu mpaka ufike huko utakuwa umekabwa njiani,mbona pale Soweto kuna Hotel /Guest house nzuri tu kwa TZS 20000-TZS 30000
 
Jombi yule jambazi wa magari wa miaka ya 90?

Mbona alikamatwa na kufungwa au alitolewa jela?

Dah alikuwa mbabe kweli alikuwa na mrange wa zamani alikuwa ana garage soweto hapo, k
 
Duh soweto kulikuwa na Jambazi mmja alikuwa anaitwa jombi alikuwa na garage mitaa hyo

Umenikumbusha mbali sana mkuu huyo jamaa enzi tunakua alikuwa mtu hatari sana kila mtu alikuwa anamuogopa aiseee lakini nilisikia kuwa amekuwa mtumishi wa Mungu ameachana na mambo hayo.
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu huyo jamaa enzi tunakua alikuwa mtu hatari sana kila mtu alikuwa anamuogopa aiseee lakini nilisikia kuwa amekuwa mtumishi wa Mungu ameachana na mambo hayo.
Kweli alikuwa mtemi sana ila udogoni nlipokuwa mbeya nakumbuka kuna gari moja nlikuwa naifanyia kazi ya kukusanya hela wakati ule chai maharage, hyo gari ilienda garage kwake jamaa wali bad ilishaga starter ya hyo chai maharage mwenye gari alikuwa mtata naye so wakaleteana na jombi ah jombi alikuja kutuliaa hahahaha
Wakati huo majambazi wa mbeya walikuwa wajasiriamali pia
 
MANYANYA HOTEL ,forest mpya(AZAM FC hufikiaga hapa)..
MKULU HOTEL,mama john(ipo barabarani kabsa)..
GOLDEN CITY,sai(hii ipo karibu na kituo cha mabasi cha nanenane,sikuhizi usiposhuka nanenane ni hadi s/kuu)..
HILL VIEW,uzunguni(kama una pesa mingi nenda hapa)..

MFIKEMO HOTEL ni kama LOGDE tu nashangaa kwanini inaitwa HOTEL,after all haipo mwanjelwa ipo Makunguru mtaa unaosifika kwa vibaka..
 
MANYANYA HOTEL ,forest mpya(AZAM FC hufikiaga hapa)..
MKULU HOTEL,mama john(ipo barabarani kabsa)..
GOLDEN CITY,sai(hii ipo karibu na kituo cha mabasi cha nanenane,sikuhizi usiposhuka nanenane ni hadi s/kuu)..
HILL VIEW,uzunguni(kama una pesa mingi nenda hapa)..

MFIKEMO HOTEL ni kama LOGDE tu nashangaa kwanini inaitwa HOTEL,after all haipo mwanjelwa ipo Makunguru mtaa unaosifika kwa vibaka..

Lodge maana yake ni hotel za kitalii.
 
Sio salama fikia padz hotel mpya iko magorofan karibu na hospital ya mkoa wa mbeya
 
Back
Top Bottom