All in all mengi yatasemwa lawama kwa yule na lawama kwa huyu.Langu mie nikuwatakieni pole wale wote walio wapoteza wapendwa wao,Mungu awape subra wakti huu mgumu.Am with you TZ people..
Lo!eti 'sam wa ukweli'sasa huo ni kweli upi..huyo bado amelala,maana angekua macho kiukweli angejua siku na mwaka wa kuzaliwa.msimuamshe kabisa..aibu kwake!
Lahaja ya Kiunguja ndiyo ilo sanifishwa kuunnda Kiswahili kulingana na historia yake.Kulikuwepo na lahaja nyingine nyingi ikiwemo;Kimvita,Kijomvu,Kimtangata n.k.Ni sababu zipi hasa zilizochangia kupendekezwa kwa Kiunguja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.