T testa JF-Expert Member Jan 16, 2012 442 179 Jul 6, 2012 #21 mhh....watarudisha pesa zetu wasipochapana
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Jul 6, 2012 #22 MALIMBUKENI ndio Watakwenda huko UWANJA WA TAIFA.
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,204 42,063 Jul 6, 2012 #23 Wema na wolper ni mamaneger wa watakao pigana. Kama ilivyo kawaida mamaneger uongea sana kuliko wapiganaji.
Wema na wolper ni mamaneger wa watakao pigana. Kama ilivyo kawaida mamaneger uongea sana kuliko wapiganaji.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Jul 6, 2012 #24 testa said: mhh....watarudisha pesa zetu wasipochapana Click to expand... Utaenda??
bigboi JF-Expert Member Sep 25, 2010 1,522 4,757 Jul 6, 2012 #25 Kung'ata hakuna wala kupigana kwenye nyonyo
The last don JF-Expert Member Aug 3, 2011 966 970 Jul 7, 2012 #28 Pambano bado halijaanza Allien Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
T testa JF-Expert Member Jan 16, 2012 442 179 Jul 7, 2012 #29 Katavi said: Utaenda?? Click to expand... nasikia wamezichapa ila ngumi za kupanga,cheka kaingia mitini
Katavi said: Utaenda?? Click to expand... nasikia wamezichapa ila ngumi za kupanga,cheka kaingia mitini
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 Jul 8, 2012 #30 The last don said: Pambano bado halijaanza Allien Click to expand... Nimeona kule kwa Shigongo eti wametoka suluhu . . . . ila kuna picha Wema kamkumbatia Wolper inaonekana alipewa kibano sana . . .
The last don said: Pambano bado halijaanza Allien Click to expand... Nimeona kule kwa Shigongo eti wametoka suluhu . . . . ila kuna picha Wema kamkumbatia Wolper inaonekana alipewa kibano sana . . .
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jul 8, 2012 #31 Nani kapigwa WEMA vs WOLPER? Wakuu tupeni updates, Tuwekeeni picha kama mnazo,
WANGU MTENZI Member Jun 25, 2012 19 6 Jul 10, 2012 #32 Kabisa hapo ushasema,dili zao kibao hawa.Ukweli usemwe kama show hamna atari lakini kama mengineyo bwana...
Kabisa hapo ushasema,dili zao kibao hawa.Ukweli usemwe kama show hamna atari lakini kama mengineyo bwana...