Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Ngoja nitafute tusi
Mkuu tukitumia neno LEGELEGE, DHAIFU, CHOVU, KICHWA CHINI MIGUU JUU, KONOKONO, etc mnalia!!!
Ngoja nitafute tusi
Weeeeeee we! We! rudia tukusikie! SERIKALI SIKIVU! SRIKALI MAKINI NA SASA TUNASONGA MBELE! HA HA HAAAAAAAAAA wacha ncheke mie! Poleni ndugu zet kwa msiba huu mkubwa. Hii ndo nchi yenu mliyopewa na Mnyaazi Mungu lakini mkapewa viongozi tepetepe!
Sometimes nakufuru,najuta kuzaliwa Tanzania!
Hii ndo serikali legelege,
Mkuu tukitumia neno LEGELEGE, DHAIFU, CHOVU, KICHWA CHINI MIGUU JUU, KONOKONO, etc mnalia!!!
Ha ha ha EKa Mangi. Liwalo na liwe!!! Kile kitengo chake cha maafa vipi? Not reachable!!
Mpwa naomba nitendee haki haki bhana, sema tukitumia maneno hayo WANALIA sio tunalia bhana, hua sijiskii uzurikabisa kuhusishwa japo kutajwa hata kwa bahati mbaya juu ya hawa jamaa
Mi nafikiri kuna baadhi ya viongozi nikibahatika kukutana nao lazima nitawang'ata sikio!!.
Kuwang'ata sikio haitoshi nikuwa ingizia chupa kwenye masabiri yao..
Asante sana mkuu. Usijali wewe haupo kabisa katika hilo kundi. Nimetumia tu lugha ya kiufundi ya uandishi!!! Wanajijua hao!! Tumechoka kuwataja kila siku hao hao tu.Puuuuuuuuuuuuuu naogopa kumalizia!!