Mimi siku niliyokwenda kutoa mahari nikaulizwa we ndo mwenye ujauzito? Basi nililia Sana Kwa kuwa sikuwahi kulala naye hata mara moja lakini Bibi yangu alinitia moyo na kuniambia wazuri bado wanazaliwa wengi na sasa Ninaye mzuri kushinda Yule kwa vyote na moyo wangu umetulia na nilshamsahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.